CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 18,193
- 34,270
Unabii ni upi dogo?Huo sio unabii msi tudanganye mzee
Unabii ni upi dogo?Huo sio unabii msi tudanganye mzee
Shida mmesha jazana ujinnga kichwani, halafu mimi sio dogo Kama huja fundishwa namna ya ku address wanaume wenzio basi kalale.Unabii ni upi dogo?
Una upumbavu mwingi sana dogo.Shida mmesha jazana ujinnga kichwani, halafu mimi sio dogo Kama huja fundishwa namna ya ku address wanaume wenzio basi kalale.
Hii ndio kiki yenu siku zote, i wonder CAG kama hakutumwa na mamluki kumchafua JPM na pia mbali na yote kiongozi gani wa CCM ambaye hajawahi kujipigia hela. Kwanini kwa Magufuli ionekane ni jambo la ajabu mno?Huyo alikuwa mwizi kama majizi mengine, CAG aliposema ukweli juu yake akamwondoa kwa lazima.
Chadema wanamekosa popularity baada ya kuanza kumshambulia hayati majukwaani JPM ni mfu anayeishi miongoni mwa watanzania..Chadema mnakwama kwa sababu chama chenu kuna watu wapumbavu wengi kama wewe ....chama makini kinatakiwa kuwa na watu wenye akili kubwa ....chadema imekusanya wapumbavu wengi chamani amini msi amini ninacho sema ...mfano njia za kumkabili samia zipo ila amzijui mnakwenda kwa kupapasa ....japo kumwondoa mbowe mmefanya jambo la msingi na la akili ila mlichelewa sana ....kuna vijiatua mnavipatia chini ya Lissu ila mnabugi vibaya sana mnapo jaribu kuwaaminisha watu kuwa samia ni sawa na Jpm au kusema kuwa jpm ni kiongozi wa hovyo wakati watu wote wanajua hakuna mzalendo zaidi ya jpm tz
Hiyo ni circle of life, unachokiweka ndio kitakacho kurudia. Ukiweka ubaya, usishangae ukarudi , ni suala la mudaSiasa za Tanzania ili hudumu inataka akili za kwenda na mdundo wa uongozi uliopo na ku-adapt mambo yakibadilika.
Halafu kuna wale wachache ambao hawaelewi huo msingi wanadumu kwa bahati ya kupendwa tu na viongozi ila sio kuelewa utaratibu wa kudumu kwenye siasa.
Ipo siku tu Makonda atanasa kwa watu aliowakera na wapo wengi (Watch this space), he is just too shallow.
Kitu kimoja ambacho wana CCM wanakijua ni kutodhalilishana kwa nafasi ya makofi ya kuazima.
Makonda hajui mipaka hiyo, siku yake yaja.
Alichomfanyia Gambo ni kumuingiza chaka kwa kumtumia mtu wa kumpa details za uongo katika vita yao Arusha.
Uliyaona hayo mabillion?!Yaliokotwa mabilion ya hela chumbani kwake
Bashite si bado anatamba na ndyo mtesi wa Gambo?Gambo
Sabaya
Bashite
Walitamba mno
Upumbavu wangu na ujuha wangu una akili kuliko akili zako na za ukoo wako combineMbona na wewe ni mpumbavu kabisa, andiko lako hili linakuchora kama mtu juha kabisa
Yupo marekani.kaamua kuhama Nchi isiyojitambuaHivi Sabaya yukwapi saivi😂😂 ila KARMA is real
Ndio maana Lisu ananyea debe kwa upumbavu wa wafuasi wake wapumbavu km wewe..Haya pambaneni na Mama yenu mliyekuwa mnamsifia anaupinga mwingi baada ya kifo cha huyo unayemuita shetani..Yaliokotwa mabilion ya hela chumbani kwake
JPM huyu huyu aliyelamba matapishi na kumrudisha Rostam kwa kumfungulia kesi kaka yake na kumpa monopoly ya gesi Tanzania. JPM alikuwa rais wa wajinga ambao hawajui kuchanganua mambo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=SAslFOG8hIA&pp=ygUUUm9zdGFtIHRhaWZhIGdhcyBqcG0%3D
Na kwa sasa binti yake ameshanunuliwa kwa ajili ya kumsaidia mama katika kampeni za mwaka huu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=zxnRBL0V3UI&pp=ygUaamFuZXQgbWFndWZ1bGkgbWlsbGFyZCBheW8%3D
Nakubaliana na wewe 100%Hiyo ni circle of life, unachokiweka ndio kitakacho kurudia. Ukiweka ubaya, usishangae ukarudi , ni suala la muda
Ndio maana wazee wetu wana recommend ishi na watu vizuri. Mambo huwa yanatabia kukurudia
Lakini anasubiria pension za ubunge, ana mali zake n.kMrisho Mashaka Gambo Kawa Mdogo Kama Vidonge Vya Piriton Ndani Ya Kopo
Anatanga Na Njia Hajui Anakokwenda
Ujui urais ni nini 😁😁 urais ni dhamana ya uaminifu wa daraja ya juu kabisa katika nchi hivyo rais kuwa na mabilioni nyumbani kwake ni kawaida tatizo rais huyo ni mzalendo kwa nchi yake je rais hiyo anawajari masikini ...je rais huyo anachukia dhuluma kwa masikini na wanyonge .....wapumbavu wa chadema wanasema rais mwenye sifa hizo hafai sasa watuambie rais anatakiwa kuwa na sifa gani kinyume na hizi ili rais huyo awe bora .....tuelezeni sifa zilizo kinyume na hizo...ambazo tuzitazamie kwenu.Yaliokotwa mabilion ya hela chumbani kwake
Kama unaona uko ndani ya mada, basi akili unayosema mimi nitumie wewe huna hata 1%Nipo ndani ya mada tumia akili au soma mada kisha soma comment yangu vizuri.