PreGE2025 Hebu Mwangalieni sasa Mrisho Gambo yanayomkuta

PreGE2025 Hebu Mwangalieni sasa Mrisho Gambo yanayomkuta

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
We mwenyewe unajua kabisa unacho kisema ni uongo, CHADEMA na wananchi CCM na w3zi wa mali za umma hivyo
unajuaje?? kama huko alikuwa anazuga na kukusanya taarifa?? maana naona yupo happy kurudi timu kuwa ya kimataifa :benzARRETE:
 
unajuaje?? kama huko alikuwa anazuga na kukusanya taarifa?? maana naona yupo happy kurudi timu kuwa ya kimataifa :benzARRETE:
kukusanya taarifa azipeleke wapi? habari za FC Barcelona (CCM) azipeleke kwa Leicester City F.C. (defunct CDM) timu iliyokufa??
 
Ni kweli Gambo alifanya maovu makubwa na ukatili pia kama ilivyo kwa sabaya.
ILa yupo mmoja kapitishwa kwa "kibali toka juu," huyu mtu alifanya uharamia na ukatili wa kutisha alipokuwa RC
 
Alwatan Mrisho Mashaka Gomba hastahili huruma yeyote ajue karma ipo na malipo na hapa hapa aendelee kutunza kiunua mgongo chake
 
atapangiwa majukumu mengine

chadema mnaadaika kiraisi sana kwani mmekuwa watu wa visasi sana nchi haiendi hivyo ndugu
 
Alipokuwa RC wa Arusha, Bwana Mrisho Gambo alijiona ni Mkubwa kuliko Mungu muumba mbingu na Nchi, Huyu alidanganywa na John Magufuli na akadanganyika bila kutafakari Maandiko Matakatifu (Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye Mwanadamu, Yeremia 17: 5-7)

Kwa kufuata Maagizo ya Kijinga ya Jiwe, Mrisho Gambo akaamua kumdhalilisha Mbunge wa Arusha Mjini, Nabii wa Mungu Godbless Lema atakavyo, Wakatunga kesi nyingi dhidi ya Lema na kumweka jela kwa miezi mingi ili Wamfurahishe Shetani waliyekuwa wanamtumikia.

Tukamsihi na kumuonya Gambo kwamba, Hakuna Mahali Popote Duniani ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu Lakini akatupuuza.

Hatimaye Jiwe akafa ili kutimiza Unabii wa Mtume Lema, Ghafla Mrisho Gambo na Mamluki wenzake akiwemo Sabaya wakawa Dagaa mchele nje ya Maji.

Kilio cha Mrisho Gambo leo ni kielelezo halisi kwamba Kila ubaya unaoutenda kwa lengo la kumfurahisha shetani anayekutuma utalipwa tu, tena kwa haraka sana.

Natoa Onyo kwa Mamluki wengine wote mlio hapa JF au kwingineko kwamba Mtumieni Mrisho Gambo kama Somo ili msije kukumbwa na balaa la Mungu, Japo sidhani kama mtaachwa.

Soma >>> GE2025 - Mrisho Mgambo atupwa kwenye jimbo la Arusha Mjini, Makonda apita kwenye mchujo
Vipi makonda nae karma imempendelea ama.
 
Moderator Rejesha kichwa cha Habari cha uzi huu kama kilivyokuwa ili watu waelewe tulichokilenga, Vinginevyo uondoe uzi wote

Huu uzi haujaandikwa leo, kwanini uedit heading leo, kipi ambacho hukukiona ambacho umekiona leo?

Ingekuwa busara ukaufuta uzi wote badala ya ulichokifanya.

Natanguliza Shukrani
 
Back
Top Bottom