Heart broken again


...akili yangu yataka kukwambia hapana, lakini moyo wanambia upo sahihi kabisa.
Kuna kipindi nilikuwa najifariji na wimbo wa Tupac - 'There You Go!'





...mnh, hiyo kamwe hebu iweke kwanza pembeni. Reservations muhimu, ...otherwise utakuwa hajajifunza alipokosea.
Mapenzi na Ukweli ni somo lililoniumiza vya kutosha maishani.

I hope and am really praying maishani nisijechezewa tena kama nilivyopata chezewa. Sijui reaction yangu itakuwaje kwakweli...hata kufikiria hilo huwa naogopa!....I will love wholeheartedly anyway!




pheeewwwww!...mapenzi haya!


Mbu, nashukuru kwa ushauri wako. Nafarijika pia kugundua kwamba kumbe kuna watu wengine pia wamewahi kupitia haya ninayoyapitia leo hii na wakayashinda. Nafarijika kuona kwamba waliweza to pick up the pieces na kuendelea na maisha. Inanipa nguvu kwamba pengine nami nitayashinda tu haya mapito na nitasonga mbele!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
...najuta kumsoma huyu bwana (i took it personal)...nadhani nilikuwa nime delay some grief...nimekumbuka kila aina ya usaliti... hili ni kovu...hata kama limepoa, alama imebakia (haifutiki.) Lizzy kalale,...lol!
kOVU UKILISUGUA SANA HUGEUKA NA KUWA KIDONDA. Don give up the fight stand up for your right.
 
Thank the LORD 4 THE ABUNDANCE OF EVERYTHING.....................God is trying to tell u something but the question is are you listening?

Do not worry about how many relationships have flopped but consider the pain of marrying someone who is going to hurt you for the rest of your days,,,,,,,,,,,,,,,,,,better face the pain 2day and learn how to cope with the loss rather than having been forced to endure rejection with someone whom shares your bed on daily basis........................and there are many of these despicable characters out there.......

Usiwe na tabia ya kuwaombea ma-ex..............bad luck but wish them a happier ending like in Hollywood movies...............................usipofanya hivyo inaashiria ya kuwa umewawekea kinyongo ambacho kitakuumiza wewe badala ya mlengwa ambaye ataendelea na shughuli zake bila ya kujua majonzi yako........................

Umenigusa na umenifariji. Thanks very much!
 
Asante mkuu, hapo kwenye bluu pamenifariji sana!

Shukran mkuu.

La msingi "kumbuka" katika kipindi hiki cha mpito u mdhaifu.
kuna 'wawindaji haramu' wanaowinda wadhaifu kama wewe...
Angalia unauweka wapi moyo na mawazo yako.

Nawaunga mkono wanaokushauri ongeza Ibada,
kwani Mw'Mungu yu karibu nawe zaidi katika kipindi hiki.

Usipokuwa makini Katika kipindi hiki cha maombolezi
utajikuta unafanya makosa makubwa sana yatayokugharimu sana maishani.
I have been there, am talking through my experiences.

Mind you,....'baby come back' pia yaweza kutokea,...
akili kichwani mwako hapo. Lazima uwe na maamuzi thabiti
nini unataka maishani mwako.

Is she "worth" the pain she's causing you? Truth Hurts...
Jifikirie!
 
I can join the rest to say pole, but what i want you to say to uaself confidently infront of the mirror,is "there is one special laddy 4u, whom God 'l make her mywife'say those words mybrother and have faith on that.'a setback is a step for comeback' do not forget that. I pry that ALMIGHTY GOD to give strength to watch foward for ua wife and not suffer 4 a lady who was nt created to be ua wife. Amen

Hapo kwenye bluu nimepapenda sana! Asante sana!
 

Let her Rot in hell bana,...potelea mbali kinyongo changu,...I HATE HER!
Siwezi semea mtu roho yake, ....uchungu wa kuumizwa labda watofautiana baina ya mtu na mtu
lakini mimi najua machungu yake, Siwezi sahau "the way she made me feel!"

Si umeona MASAKI kakesha usiku kucha!

Hapo kwenye bluu nimecheka kwa sauti kabisa. Mbu, I know the feeling. Mtu ambaye hajawahi kupitia haya anaweza asikuelewe kabisa! Pole pia mzee!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Pole mkuu,
nakushauri hivi
1 kwa vile wanaume wengi ni wazito kueleza lililo moyoni (baada ya kuumizwa) kwa wanaume wenzao wengi hukimbilia kwa w'ke ambao w'ke hao hutumia nafasi ya 'huruma' kuanzisha uhusiano mpya wkt mwingi haudumu
2 w'me wengi hukimbilia kuziba pengo kwa kutafuta m badala . Ni kosa,sawa na kufunga kidonda baada tu ya kuumia kabla hujachunguza vzr na kukisafisha
3 kubali maumivu mpaka yapoe kisha angalia wapi ulikosea
4 msamehe haraka maana baya+baya madhara yake yatakua makubwa na kwa muda mrefu
5 acha ulevi(km mlevi)kwa kipindi hiki kumbuka mapenzi yanapoisha maisha yanaendelea.na mimi yamenikuta bado nina kidonda mkuu tupo wengi

Mungu akuongezee busara mkuu. Hapo kwenye namba tano pamenisaidia sana. Kwa sababu dalili zilipoanza kujionesha kwamba ninaibiwa niliamua kuacha pombe kabisa. Na imenisaidia sana to keep my feet on the ground. Otherwise the situation would have been worse by now! Thanks!
 
was she happy with your relationship? and how did you know??

Had she not been happy, she wouldn't stay for 4 years. Had she not been happy, she wouldn't ask me to see her parents. I did not force her to introduce me to her parents! She initiated the whole move, bila ya shinikizo lolote. Sasa kama asingekuwa happy asingefanya hayo yote!
 
ah we ndugu.si bora mambo yameisha namna hiyo!una heri sana mshukuru mungu.pata picha uko na mimba ya miezi tisa,unagombana na mmeo na anajua uko mjamzito hajali na anafanya kila vurugu hatimaye mtt anakufa na haishii hapo anakuibia na pesa tena nyingi.isitoshe unatoka kwenye matatizo hayo anakufukuza na nyumbani huna pa kwenda coz pesa zote amekuibia.mshukurru mungu rafiki.yangeweza kukukuta mabaya zaidi ya hayo.lkn hao ndio binadamu na wanaishi na wengine wanachangia hoja hapahapa jf.take care?

Duh! That is cruel and heartless kwa kweli. Pole sana kama yalikukuta wewe hayo uliyotolea mfano hapo juu!
 
Masaki.....................I hope umepata la kupata toka kwa wanajamii humu chumbani. Mwenyezi MUNGU akupe nguvu za kusonga mbele. Lililotokea lichukulie kama ni ngazi towards lililo jema na funzo katika maisha yako ya mahusiano. Ubarikiwe sana kaka yangu.

Mbu, pole!

Asante sana. Nimepata faraja kubwa kuliko hata nilivyotarajia kutoka hapa jamvini. Nilikuwa najua kwamba JF kuna watu wema na wenye busara sana, lakini sikujua kama ni wenye busara na wema uliopitiliza kiasi hiki kwa kweli. Najiona kama nimeutua mzigo mzito niliokuwa nao.

Kuna wale ambao naweza kusema ''they went an extra mile'' kwa kunifuata PM ili wajue kwa undani yaliyonisibu na watoe ushauri wa kina. Wamenisaidia sana, na Mungu awabariki! Waendelee kuwa msaada kwa watu wengine pia kwani maisha yanaendelea!
 
Nakwambia MJ1 anatokea tena mkaka nakwambia anaongea kwa huruma, na kukuhakikishia yeye ndio dawa ya matatizo yako, unajitosa mzimamzima badae unakuja ona anabadilika na kutenda yaleyale, mwee sijui itakuwaje huko mbelen maana miakainavokwenda ndio hali ya mahusiano ya watu yanazidi dorora

Hapo kwenye bluu pamenichekesha sana!
 
Dah Masaki nimesoma mpaka nimelia nakosa cha kuandika kabisa zaidi ya kusema POLE SANA na muombe Mungu akusaidie usikate tamaa maisha tunayoishi huwa yanachangamoto zake so endelea kuomba na kusali sana.

Asante and Amen! Naamini haya yatapita tu.
 
Shukran mkuu.

La msingi "kumbuka" katika kipindi hiki cha mpito u mdhaifu.
kuna 'wawindaji haramu' wanaowinda wadhaifu kama wewe...
Angalia unauweka wapi moyo na mawazo yako.

Nawaunga mkono wanaokushauri ongeza Ibada,
kwani Mw'Mungu yu karibu nawe zaidi katika kipindi hiki.

Usipokuwa makini Katika kipindi hiki cha maombolezi
utajikuta unafanya makosa makubwa sana yatayokugharimu sana maishani.
I have been there, am talking through my experiences.

Mind you,....'baby come back' pia yaweza kutokea,...
akili kichwani mwako hapo. Lazima uwe na maamuzi thabiti
nini unataka maishani mwako.

Is she "worth" the pain she's causing you? Truth Hurts...
Jifikirie!

Mbu, hapo kwenye bluu NEVER, it may only happen OVER MY DEAD BODY!
 
Mbu, hapo kwenye bluu NEVER, it may only happen OVER MY DEAD BODY!
Never say never Masaki huwezi jua uliloandikiwa, tushawaona walioapa miungu yote siku ya siku waliinamisha vichwa vyao chini
 
mkuu evrythng hapened2human thy hav reson behnd b proud of uaself tht u escape the darknes tht was infrnt u.,never gv up u wl sum1esl..pole
 
Never say never Masaki huwezi jua uliloandikiwa, tushawaona walioapa miungu yote siku ya siku waliinamisha vichwa vyao chini

Siwezi kurudi kwenye psychological tourture kama ile Gaga, siwezi!!
 
Hey Masaki,pole sana kwa umizo la moyo,truly it hurt so so much ila usijione mwenye mkosi bali Mungu alikupa muda wa kujifunza tena.Remember,"in life we can not avoid change,we can not avoid loss.Freedom and happiness are found in the flexibility and ease with which we move through change"

Ushauri wangu "Acknowledge your emotions.Monitor your thoughts and be open to possibilities............".
 
Pole sana Mkuu lakini sitaweza kumhukumu huyo mwanamke kama wengine walivyofanya kwa vile sijasikia version yake ya story. Na kwa vile hii ni mara ya pili nimeshindwa ku make conclusion. Otherwise, pole sana na move on. Usijione kama wewe ni victim pekee wa mapenzi. Wengi sana wameshafikiwa na haya. Utakuwa na mengi mazuri kwenye maisha yako, so stick to them and move on.
 
Pole sana Mkuu lakini sitaweza kumhukumu huyo mwanamke kama wengine walivyofanya kwa vile sijasikia version yake ya story. Na kwa vile hii ni mara ya pili nimeshindwa ku make conclusion. Otherwise, pole sana na move on. Usijione kama wewe ni victim pekee wa mapenzi. Wengi sana wameshafikiwa na haya. Utakuwa na mengi mazuri kwenye maisha yako, so stick to them and move on.
Ayachukulie kama majaribu tu ya dunia, na jiweke busy na shughuli unazopenda, usirush kwenye mahusiano mengine unaweza angukia pabaya, jipe muda na mambo yote yatakuwa murua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom