Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
- Thread starter
- #81
...akili yangu yataka kukwambia hapana, lakini moyo wanambia upo sahihi kabisa.
Kuna kipindi nilikuwa najifariji na wimbo wa Tupac - 'There You Go!'
...mnh, hiyo kamwe hebu iweke kwanza pembeni. Reservations muhimu, ...otherwise utakuwa hajajifunza alipokosea.
Mapenzi na Ukweli ni somo lililoniumiza vya kutosha maishani.
I hope and am really praying maishani nisijechezewa tena kama nilivyopata chezewa. Sijui reaction yangu itakuwaje kwakweli...hata kufikiria hilo huwa naogopa!....I will love wholeheartedly anyway!
pheeewwwww!...mapenzi haya!
Mbu, nashukuru kwa ushauri wako. Nafarijika pia kugundua kwamba kumbe kuna watu wengine pia wamewahi kupitia haya ninayoyapitia leo hii na wakayashinda. Nafarijika kuona kwamba waliweza to pick up the pieces na kuendelea na maisha. Inanipa nguvu kwamba pengine nami nitayashinda tu haya mapito na nitasonga mbele!
Last edited by a moderator: