Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Real tears are not those that fall from the eyes and cover the face, but are those that fall from the heart and cover the soul.
I don't have tears on my face but my heart is crying tonight. Nami namuomba sana Mungu awape wanawake hekima ya kutambua na kuheshimu hisia za wenzao. Wawe na busara ya kutambua na kuheshimu hisia zilizopo kwenye mioyo ya wenzi wao! Four years in a relationship have vanished in matter of few days! Worse enough na tarehe ya harusi ilishapangwa. I AM HEART BROKEN AGAIN!! For the second time!! Last time was 2005, I wasted so many years trying to recover and also learn to trust women again. It took time and eventually my heart was softer enought to love again! Now see what I have got from a woman tonight! NOTHING BUT PAIN!!
Pengine kuna tatizo lilijificha ambalo silifahamu. Kwa upande wangu kama mwanaume na kama binadamu mwenye mapungufu yake, inawezekana kabisa nimewahi kuwakwaza au kuwaumiza baadhi ya wanawake katika hisia zao. From the bottom of my heart, namuomba Mungu anisamehe pale ambapo niliwahi kumuumiza mwanamke katika mapenzi na hisia zake!
I don't have tears on my face but my heart is crying tonight. Nami namuomba sana Mungu awape wanawake hekima ya kutambua na kuheshimu hisia za wenzao. Wawe na busara ya kutambua na kuheshimu hisia zilizopo kwenye mioyo ya wenzi wao! Four years in a relationship have vanished in matter of few days! Worse enough na tarehe ya harusi ilishapangwa. I AM HEART BROKEN AGAIN!! For the second time!! Last time was 2005, I wasted so many years trying to recover and also learn to trust women again. It took time and eventually my heart was softer enought to love again! Now see what I have got from a woman tonight! NOTHING BUT PAIN!!
Pengine kuna tatizo lilijificha ambalo silifahamu. Kwa upande wangu kama mwanaume na kama binadamu mwenye mapungufu yake, inawezekana kabisa nimewahi kuwakwaza au kuwaumiza baadhi ya wanawake katika hisia zao. From the bottom of my heart, namuomba Mungu anisamehe pale ambapo niliwahi kumuumiza mwanamke katika mapenzi na hisia zake!