HE saved me,HE gave me the second chance!

MUNGU awasamehe bure na kuwabadilisha mapema kabla hawajaharibikiwa zaidi.
 
Pole sana,mwili umesisimuka,hii ajali niliiona kwenye tv noah aliharibika kabisa.Zingatia ibada MUNGU amekupa second chance kurebisha yale uliyokuwa ujayaweka sawa
 
Hiyo ajali nilipata habari zake humu Jf, kumbe mkuu na wewe ulikuwemo? Pole kwa maswahibu yaliyokusibu Jaguar...

Oohhh ndo ile noah waliweka picha yake humu daah...Mungu mkubwa
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu na hongera, ila hata ukimwi wewe huwezi kupata una kinga.
 
Nimeguswa!.
Mkuu Jaguar, you have the powers ndani yako. Huyo Mungu unayemtaja amekuoakoa yuko ndani yako!. Ametokea kukuokoa tuu bila ya wewe kumtuma, sasa baada ya kumjua kuwa yuko ndani yako, mtume chochote, au muombe chochote utapata!.

Kilichokutokea ni kuwa your sub-concious mind iliiona ajali kabla, astarar body ikaicontrol physical body, ikaufungua mlango, ikakutoa nje kabla kidogo ya ajali, then within a split of a second, ajali ikatokea, ikakulaza chini, na kukupotezea fahamu ili usijue nini kilitokea!.

Baada ya kuyajua haya, sasa shikamana na Mungu, uyafanye makubwa na sio tena ukiwa usingizini bali ukiwa macho huku unajitambua!. Kila anayepewa a second chance, anapewa for a purpose!, pata muda utulie, muulize Mungu kusudio lake kwako ni lipi!, utaisikia sauti itakuambia upasayo kutenda!, go for it!.
Pasco
 
Mungu mwenye amekuhurumia
Inabidi ujenge mahusiano nae vizuri
 
100% mkuu,nakubaliana na wewe!
 
Mkuu Jaguar

Pole sana kwa yote. Hakika unahitaji kumshukuru Mungu kwa nusra uliyopata.

Nakutakia heri ili kupona salama trauma uliyonayo.
 
Last edited by a moderator:

Tanzania kuna atheist basi hawa mchwara wasiojielewa wanawaiga tu wazungu kila kitu,

amesoma viblaa blaaa vya Darwinism basi na yeye keshakuwa atheist.
 

Psssssss! Dude are you out of your mind?
 
Watu kama wewe ni janga kwa Dunia. Hivi unadhani kama Mungu angetaka watu wote wamuamini angeshindwa??
 
Mkuu pole kwa ajali na mwenyezi Mungu apewe sifa.
 
Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako tena kabla hazijaja siku zilizo mbaya. Pole kwa janga lililokupata. Endelea kumtumaini Mungu anampango na wewe.
 

Sijawahi kukubali unabii kama huu,unadhani Mungu mwenyewe hajui kuwa hawa watu wanaexist? Then kwanini awaache waendelee kuishi?(U cn refer King..ge), mfano JF ife ili...? Nyie ndo mnafanya watu wadhani kuwa religious ppl aren't intelligent,unavojinadi kuwa uliwatukana hao walosema hakuna Mungu,ulikuwa sahihi? Ndivyo Mungu wako anavyosema? uwatukane? Hivi mlipoambiwa mkawafanye watu kuwa wanafunzi ilimaanishwa kwa kutoa amri ya siku 30 kama mahakama eeeh...? Mh....haya ngoja tusubir amri ya siku 30 tuone kama itkuwa na back up ya Mungu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…