Hayati Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa

Hayati Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa

Naunga mkono hoja, mtu gani anajitungia na kurekebisha Katiba ambayo inamlinda kujineemesha zaidi ku enjoy madaraka…. Huyu mzee alikuwa wa hovyo kabisa
 
Ningemuelewa mtoa mada kama angemlaumu JK ambaye alitumia Tsh 400 kwenye tume ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Warioba, na akaondoka madarakani bila kutupa Katiba. Lakini kumlaumu Nyerere ambaye aliiheshimu Katiba hiyo mbovu ni kufilisika kimawazo
Hatuwezi laumu shina wakati ilianza mizizi
 
Alikuwa na matatizo ya akili
Ebu kuwa na adabu

Wenye hekima hutafsiri mwisho kujua mwanzo pia

Ana lipi nyerere ambalo kajinonesha kiasi kwamba uone tamaa ilichukua nafasi yake.!?

Nyerere kafa kama mbwa koko kwenye jamii aliyoishi kabla ya wakati wake

Kama nadharia ya time travel ingepata mashiko duniani basi kisa cha nyenyere kina mchango wake kwenye hilo
 
Hiyo imeandikwa, hakuna kufuta, imetoka hiyo. Ni baba wa taifa forever
 
Wakati wa bunge la katiba mjadala kama huu uliibuka na UKAWA walikuja na msimamo wa serikali tatu lakini chama tawala walibaki na msimamo wao wa serikali mbili na mambo yakaharibikia pale. Bila kulaumu nadhani wakati ule ndio suluhisho la malalamiko haya yote.
Nafasi bado iko lakini kuna watu hawatakubali.
 
Mimi huwa sipindishi maneno.
Yeyote yule akizingua nambadilikia.

Kwa ufupi Mimi sio muumini wa kudumu wa chama au kiongozi yeyote awe wa upinzani au wa chama Tawala.

Haya yote mnayoyaona kuwa hayako sawa ni matokeo ya utawala wa Mw. Nyerere.

Alikuwa hana uwezo wa kuona mbali, kwakuwa alitawala zama za ujinga na wajinga wakamwona kama nabii kumbe hamna kitu.
Nitoe mfano mmoja tu.

Unaunganishaje nchi yako Tanganyika na nchi nyingine Zanzibar kisha kuipoteza nchi yako ilhali mwenzako anayo nchi yake ikiwa safi kabisa?

Hata mwanangu Praise wa Darasa la pili hawezi kukubali kuchukua sahani yake ya ubwabwa kisha kuutia kwenye sahani nyingine na kumwambia mwenzake ambaye sahani yake iko na ubwabwa umejaa njoo tule, weka sahani yako pembeni utakula kwa wakati wako tule kwanza huu ubwabwa wetu.

Nitaweka picha kuelezea tukio hili la kijinga.

Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa na familia yake iondolewe baadhhi ya stahiki iwe fundisho kwa viongozi waliopo wajue kuwa kuna maisha baada ya uongozi.
A. Peter yuko na sahani yake ya ubwabwa.

View attachment 3504071

B. Juma yuko na sahani yake ya ubwabwa ametulia.
View attachment 3504072

C. Peter anakwenda kumshawishi Juma wachanganye ubwabwa wao. Peter anachanganyikiwa anamwaambia Juma ubwabwa wangu uwe wetu sote. Juma kakubali.
View attachment 3504073
D. Juma bado sahani yake ya ubwabwa ameikimbatia huku akiendelea kula vinono vya Peter.
View attachment 3504075
Baba wa taifa gani wakati alitultea ugonjwa na ukupe uitwao muungano tenakwamaslahibinafsi?
 
Hata mwanangu Praise wa Darasa la pili hawezi kukubali kuchukua sahani yake ya ubwabwa kisha kuutia kwenye sahani nyingine na kumwambia mwenzake ambaye sahani yake iko na ubwabwa umejaa njoo tule, weka sahani yako pembeni utakula kwa wakati wako tule kwanza huu ubwabwa wetu.
Yaani Mtoto(teenager) ana changanya ubwabwa wake na mtoto wa miaka 2.

Halafu unalalamika kuwa anapunjwa?.
Tangayika inatumia katiba yake kuendesha Tanzania, Katiba ya Tanzania(muungano) ipo juu kuliko katiba yake Zanzibar.

Tanganyika inachukuwa 95.5% ya mikopo ya nje na Zanzibar inapewa 4.5%. Hapa mtoto yupi anae mpunja mwenziwe?.

Nyerere alikuwa mjanja mjanja tu eti kaifanya Tanzania yote kuongea Kiswahili kwani Watanzania walikuwa wanaongea lugha ipi kabla yake?. Au akifanya kampeni za siasa akiwa Tanu wakati wa ukoloni Watanzania wakiongea lugha ipi?.
 
Mimi huwa sipindishi maneno.
Yeyote yule akizingua nambadilikia.

Kwa ufupi Mimi sio muumini wa kudumu wa chama au kiongozi yeyote awe wa upinzani au wa chama Tawala.

Haya yote mnayoyaona kuwa hayako sawa ni matokeo ya utawala wa Mw. Nyerere.

Alikuwa hana uwezo wa kuona mbali, kwakuwa alitawala zama za ujinga na wajinga wakamwona kama nabii kumbe hamna kitu.
Nitoe mfano mmoja tu.

Unaunganishaje nchi yako Tanganyika na nchi nyingine Zanzibar kisha kuipoteza nchi yako ilhali mwenzako anayo nchi yake ikiwa safi kabisa?

Hata mwanangu Praise wa Darasa la pili hawezi kukubali kuchukua sahani yake ya ubwabwa kisha kuutia kwenye sahani nyingine na kumwambia mwenzake ambaye sahani yake iko na ubwabwa umejaa njoo tule, weka sahani yako pembeni utakula kwa wakati wako tule kwanza huu ubwabwa wetu.

Nitaweka picha kuelezea tukio hili la kijinga.

Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa na familia yake iondolewe baadhhi ya stahiki iwe fundisho kwa viongozi waliopo wajue kuwa kuna maisha baada ya uongozi.
A. Peter yuko na sahani yake ya ubwabwa.

View attachment 3504071

B. Juma yuko na sahani yake ya ubwabwa ametulia.
View attachment 3504072

C. Peter anakwenda kumshawishi Juma wachanganye ubwabwa wao. Peter anachanganyikiwa anamwaambia Juma ubwabwa wangu uwe wetu sote. Juma kakubali.
View attachment 3504073
D. Juma bado sahani yake ya ubwabwa ameikimbatia huku akiendelea kula vinono vya Peter.
View attachment 3504075
Mmetoka kwenye udini mmeshaanza kutumwa kumbananga Baba wa taifa? Akili zako zimekutuma Mwl alikuwa anaongoza zero brains? Anyway pole yako. Kuhusu Mwl waulize Babu zako, muulize mu7, muulize kagame, muulize samora machel, muulize JK, waulize na wengine wengi, wakishakujibu alikuwa mtu wa aina gani urudi hapa kutuletea jibu.

Kuhusu muungano achana na mambo ya plate, jibu fupi ni kwamba ng'ombe haelemewi na nunduye, kama wewe ni mtanganyika kasome faida zilizo nyuma ya muungano.

Jambo la kuupitia upya muungano ni muhimu, lakini sio Kwa kubeza juhudi za Mwl.
 
Hiyo imeandikwa, hakuna kufuta, imetoka hiyo. Ni baba wa taifa forever
Inategemeana Nyerere legency kuondoka kwa hapa nchini inawezekana, inategemeana na CCM mwenendo wao na nchi Nini watafanya na mwisho wao.
Mwisho wao ukiwa mbaya , hapa nchini viongozi watakao ingia wakiamua kuondoa legency ya Nyerere wanaweza japo itachua miaka kadhaa ,
Kuiondoa kwa mataifa mengine nje ya TZ ndo ngumu.
Ila kwa hapa inawezekana kuiondoa legency ya Nyerere.

Ndo maana yule professor wa Kenya , alisema Nini utawashauti CCM kwa sasa.
Kitu Cha kwanza ni hicho alisema ni kuwa shauri CCM walinde legency ya Nyerere.

Maana anajua kwa mwenendo wao huu ni rahisi kuondoka
 
Yaani Mtoto(teenager) ana changanya ubwabwa wake na mtoto wa miaka 2.

Halafu unalalamika kuwa anapunjwa?.
Tangayika inatumia katiba yake kuendesha Tanzania, Katiba ya Tanzania(muungano) ipo juu kuliko katiba yake Zanzibar.

Tanganyika inachukuwa 95.5% ya mikopo ya nje na Zanzibar inapewa 4.5%. Hapa mtoto yupi anae mpunja mwenziwe?.

Nyerere alikuwa mjanja mjanja tu eti kaifanya Tanzania yote kuongea Kiswahili kwani Watanzania walikuwa wanaongea lugha ipi kabla yake?. Au akifanya kampeni za siasa akiwa Tanu wakati wa ukoloni Watanzania wakiongea lugha ipi?.
Ishu ni kwamba Tanganyika haifaidiki na muungano.
 
Back
Top Bottom