Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,851
- 3,065
Muungano huu wa mchongo lazima uvunjwe
Tanganyika imejificha ndani ya serikali ya TZ.Mimi huwa sipindishi maneno.
Yeyote yule akizingua nambadilikia.
Kwa ufupi Mimi sio muumini wa kudumu wa chama au kiongozi yeyote awe wa upinzani au wa chama Tawala.
Haya yote mnayoyaona kuwa hayako sawa ni matokeo ya utawala wa Mw. Nyerere.
Alikuwa hana uwezo wa kuona mbali, kwakuwa alitawala zama za ujinga na wajinga wakamwona kama nabii kumbe hamna kitu.
Nitoe mfano mmoja tu.
Unaunganishaje nchi yako Tanganyika na nchi nyingine Zanzibar kisha kuipoteza nchi yako ilhali mwenzako anayo nchi yake ikiwa safi kabisa?
Hata mwanangu Praise wa Darasa la pili hawezi kukubali kuchukua sahani yake ya ubwabwa kisha kuutia kwenye sahani nyingine na kumwambia mwenzake ambaye sahani yake iko na ubwabwa umejaa njoo tule, weka sahani yako pembeni utakula kwa wakati wako tule kwanza huu ubwabwa wetu.
Nitaweka picha kuelezea tukio hili la kijinga.
Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa na familia yake iondolewe baadhhi ya stahiki iwe fundisho kwa viongozi waliopo wajue kuwa kuna maisha baada ya uongozi.
A. Peter yuko na sahani yake ya ubwabwa.
View attachment 3504071
B. Juma yuko na sahani yake ya ubwabwa ametulia.
View attachment 3504072
C. Peter anakwenda kumshawishi Juma wachanganye ubwabwa wao. Peter anachanganyikiwa anamwaambia Juma ubwabwa wangu uwe wetu sote. Juma kakubali.
View attachment 3504073
D. Juma bado sahani yake ya ubwabwa ameikimbatia huku akiendelea kula vinono vya Peter.
View attachment 3504075
Alikuwa na matatizo ya akiliNyerere hakua kiongozi mzuri kama ambavyo anapambwa
Pamoja na Samia?ongea nae basi arekebisheHao wenye mamlaka na uwezo wa kubadili amewaharibu ufahamu. Wanaona iko sawa tu
Akili yako ni fupi kama kinyesi cha mwisho. Jipange namna ya kuandika hojaMimi huwa sipindishi maneno.
Yeyote yule akizingua nambadilikia.
Kwa ufupi Mimi sio muumini wa kudumu wa chama au kiongozi yeyote awe wa upinzani au wa chama Tawala.
Haya yote mnayoyaona kuwa hayako sawa ni matokeo ya utawala wa Mw. Nyerere.
Alikuwa hana uwezo wa kuona mbali, kwakuwa alitawala zama za ujinga na wajinga wakamwona kama nabii kumbe hamna kitu.
Nitoe mfano mmoja tu.
Unaunganishaje nchi yako Tanganyika na nchi nyingine Zanzibar kisha kuipoteza nchi yako ilhali mwenzako anayo nchi yake ikiwa safi kabisa?
Hata mwanangu Praise wa Darasa la pili hawezi kukubali kuchukua sahani yake ya ubwabwa kisha kuutia kwenye sahani nyingine na kumwambia mwenzake ambaye sahani yake iko na ubwabwa umejaa njoo tule, weka sahani yako pembeni utakula kwa wakati wako tule kwanza huu ubwabwa wetu.
Nitaweka picha kuelezea tukio hili la kijinga.
Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa na familia yake iondolewe baadhhi ya stahiki iwe fundisho kwa viongozi waliopo wajue kuwa kuna maisha baada ya uongozi.
A. Peter yuko na sahani yake ya ubwabwa.
View attachment 3504071
B. Juma yuko na sahani yake ya ubwabwa ametulia.
View attachment 3504072
C. Peter anakwenda kumshawishi Juma wachanganye ubwabwa wao. Peter anachanganyikiwa anamwaambia Juma ubwabwa wangu uwe wetu sote. Juma kakubali.
View attachment 3504073
D. Juma bado sahani yake ya ubwabwa ameikimbatia huku akiendelea kula vinono vya Peter.
View attachment 3504075
Nyerere alikuwa tayari East Afrika iungane na Urais achukue Kenyatta (An Elder among the then Presidents sasa hapo utasema ni Uchu wa Madaraka)?Alichokitaka yeye ni kuwa Rais wa JMT tu.Alikuwa na uchu wa madaraka yule Baba.
Nope alikuwa tayari kumuachia madaraka Kenyatta ; Na kipindi hicho was more favorable sio East Afrika tu bali Afrika nzima kuungana achana na sasa hivi Mabeberu wa kufikirika kipindi hicho kulikuwa na Mabeberu wa kweli na Marginalization ; Sasa hivi kuna Soft Colonialism ( Imperialism) kipindi kile ilikuwa nje nje (waulize kina Sankara, Lumumba n.k.); Kwahio walijua kabisa bila kuungana tutaendelea (tumeendelea kama tulivyo leo; puppets wa west)Alitaka miungano huku yeye akiimpose ndo awe Rais.Kenya walimtolea nje.
Aliharibu kiasi kwamba itahitaji karne moja kuyaweka sawaAnayewazuia msiyaweke sawa bado ni Nyerere ?
Wewe ndio usiye na fikraAkili yako ni fupi kama mavi ya mwisho. Jipange namna ya kuandika hoja
Sio kweliAlichokitaka yeye ni kuwa Rais wa JMT tu.Alikuwa na uchu wa madaraka yule Baba.Alitaka miungano huku yeye akiimpose ndo awe Rais.Kenya walimtolea nje.
Wewe tahira tuliaAkili yako ni fupi kama mavi ya mwisho. Jipange namna ya kuandika hoja
Aliona mbali sana sera za nyerere ziliengemea kwenye kulinda madaraka yake tuSio kweli
Alikuwa tayari aahirishe uhuru wa Tanganyika wapate pamoja na kenya na Uganda.Halafu raisi Jomo Kenyata awe ndio raisi wa Africa Mashariki.Yeye na Obote wawe Magavana wa nchi zao.Bahati mbaya njia za kupigania uhuru Kenya na Tanzania zilikuwa tofauti sana.Kenya walimwaga damu mno kupita MAU MAU wazungu walichinjwa mno ma settler na waafica kama kina Dedan Kimathi kunyongwa.
Zaidi ya yote Jomo Kenyata naweza kusema alikuwa mbinafsi sana na mtata japo alikuwa hajawa raisi bado hakukubaliana na wazo hilo
Bado unamlaumu Nyerere ambaye katika miaka 64 ya Uhuru alitawala miaka 24 tu. Walaumu watawala waliofuata kwa miaka 40, wamefanya nini kubadili sera zakeWewe ndio usiye na fikra
Sio kweli..Aliharibu kiasi kwamba itahitaji karne moja kuyaweka sawa
Hojaona maelfu ya roho yalivyoangamia?Sio kweli..
Mkiamua hata kwa usiku mmoja mnaweza kuweka sawa ....hamtaki tu.
Ningemuelewa mtoa mada kama angemlaumu JK ambaye alitumia Tsh 400 Billion kwenye tume ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Warioba, na akaondoka madarakani bila kutupa Katiba. Lakini kumlaumu Nyerere ambaye aliiheshimu Katiba hiyo mbovu ni kufilisika kimawazoSio kweli..
Mkiamua hata kwa usiku mmoja mnaweza kuweka sawa ....hamtaki tu.