Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,253
Honestly to my opinion comparatively , Samia isn't that bad.... kinacho m cost yupo surrounded na money mongers...
Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.
anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.
Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.
Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.
Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.
Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....
Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.
Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki, very good at Micro management.
Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.
Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.
anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.
Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.
Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.
Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.
Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....
Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.
Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki, very good at Micro management.
Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.