Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Honestly to my opinion comparatively , Samia isn't that bad.... kinacho m cost yupo surrounded na money mongers...

Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.

anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.

Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.

Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.

Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.

Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....

Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.

Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki, very good at Micro management.

Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.
 
Honestly to my opinion comparatively , Samia isn't that bad.... kinacho m cost yupo surrounded na money mongers...

Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.

anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but they keep failing her.

Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.

Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.

Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.

Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....

Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.

Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki.

Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.
Samia + intellect?

You serious?
 
Mtu huyo ni Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Uzi mwingine wa chuki unaokosa mantiki yenye kuweza kuingia kichwani. Samia ni sehemu ya serikali tangu miaka hiyo 2000.

Na kwa nchi hizi rais hawi yule anayeongelewa sana midomoni mwa watu. Lowassa alipambana kila alivyoweza akaja kuukosa urais.

January Makamba anapambana sana aje kuwa rais na hatakuwa rais huko tuendako.

Ukiukamia sana urais huwa huupati, unaishi kutengeneza makundi ya majungu na kuwa na wapambe wengi kama huyu mleta mada lakini ikulu huwezi kufika.

Tunakuwa na marais ambao sio maarufu midomoni mwa watu na ni kwa kheri ya taifa zima. Mungu anatuokoa na tabia nyingi za ajabu za hao wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba.
 
Mtu huyo ni Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Uwezo Mkubwa wa kutweza, kunanga na kutukana au kukebehi hauipi uhalali hoja yako dhaifu kuwa Sahihi, Pamoja kuwa unayo haki ya kukosoa lakini ulipaswa pia kukumbuka CCM ndio chama kilichopitisha Mgombea Urais na Makamu wake, kadhalika ubora mara 100 wa Mpango kwa Samia haumuinui Magufuli dhidi ya Musa Assad
 
Mtu huyo ni Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Mkuu

Ongeza vitu vinne alivyonavyo wa hapo TZ
1. Hasira isiyo na mithili ila ameificha kwenye ngozi (Reference JK voice)
2. Visasi vya bayana (Reference-kukamatwa na trafiki akiendesha gari na kudharau kusimamishwa na askari trafiki halafu alipookota uhangaya alitamka wazi wazi jinsi anavyochukizwa na cops!!! Kurejesha viongozi wote walioharibu kwenye dhamana na wanaendelea kuharibu bila kuchukuliwa hatua zozote
3. Nepotism
4. Kuthamini mali ya kupewa naye kugawa ya nyumbani bila ridhaa ya wenye umiliki wa asili
 
Honestly to my opinion comparatively , Samia isn't that bad.... kinacho m cost yupo surrounded na money mongers...

Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.

anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.

Kama jana nimeona clip ya nguzo za zege zinaangukia piki pik mchana kweupe.

Wapo wanaomwambia aachane na mfumo wa ega kwa excuse ya kuongeza ufanisi... but intention ni kupiga pesa.

Same kwenye issue ya bandari, na mengine mengi, ikiwemo na hili la kuchelewesha Katiaba mpya, na sababu ni kwamba wengi hawakuchaguliwa, so to maintain the position lazima watengeneze mazingira mapema.

Angalia kama Spika Tulia kwenye muhimil wa maana sana, ana PhD na ni mtu mwenye " akili" but she was literally dying for that position just to take a picture....

Hao wengine hata huwezi sema, mawaziri wengi nao ni kuendekeza uchawa ili wapate chakula ... it's sad but we have them in the system.

Magufuli alikuwa ana shine bila hata PhD.... toka akiwa naibu waziri had waziri wa SAmaki, very good at Micro management.

Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.
Yote uliyoyasema ndiyo yanamnyima hizo sifa za kuwa kiongozi bora. Kama yupo surrounded na watu wabovu Kwa nini asitambue? She is not that intelligent, among other things very important, lazima kama wewe ni kiongozi ujue wale wanaokuzunguka, otherwise you are not that intelligent
 
Hili Jambo nililisema humu hata kabla ya DPW.

SSH alichaguliwa Kwa sababu,
👉Ni Mdhaifu
👉Ni mzanzibar
👉Ni Mwanamke.

Bahati mbaya sana Rais JPM Kwa Uwezo wake mkubwa alokua nao, haikua shida kwake, TATIZO NI KIFO CHAKE, KIFO CHA JPM, NA KATIBA MBOVU, NDIO VIMETUUZIA MBUZI KWENYE GUNIA


Wewe mtu kasoma Kwa kufelifeli weeeeee mpaka hapo alipo.

Hawa kiasili wanakuaga na ujuha wa kuzaliwa, wadhaifu na waoga, Watu Hawa Huwa kwenye kutafuta UKUU, wapo radhi kufanya mambo ya Hatari sana, Kwa sababu wanajua, hawana Uwezo na hivo muda wote wanahisi kudharauliwa .


Hali kama hii, huwafanya kutumia Kila Silaha wanayoweza ,kupambana na mtu anayeonekana ni Tishio !!.



Angalieni Genge lilomzunguka, Genge Zima, ni watu wanaofanana kielimu , Sasa unategemea Nape au Makamba, Wamshauri nn??


Hakujawahi kutokea kua na Rais mbovu kama huyu !!!.

Sahizi tuna makesi mengi mahakaman, hayo yote unaambiwa, Ni makosa ya JPM...Alaaaaa!!.

JPM alipokua hai, hizo kesi uchwara mbona hazikuwepo???.


Tuna Kiongozi mbovuuu kushindwa hata ubovu wenyewe
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Wasukuma na Wale watu weupe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom