Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Nonsense my foot, I do not have to dance your music that is my personal observations have yours and find a country to implement not again in this Country. Things should not be taken your way always, leave others to lead the Country and not rule.
Yes, you are right, you don't need to dance my music but at least you heard it ringing.
 
Kwamba nikuogope utanishitaki?
Hapa sikutishi ila nakukumbusha tu huo ndio ukweli bro. Unamlaumu asiehusika anakula akiba zako au zetu ni Serikali. Angalia Serikali inadaiwa shilingi ngapi na mifuko ya wafanyakazi nchini ni trillions hiyo ndio hoja yangu.
 
Tunaenda pata magufuli mpya 2025. Wajibu wa mama nikutufikisha 2025 tuweze mpata magufuli mpya. Wapo wachumia tumbo utawasikia 'mama hadi 2030' wakati mama mwenyewe kashasema viatu vya magufuli havimtoshi. Mama ni mzalendo analijua hili. Wajibu wa wazalendo wote ni kumkinga mama na vibaraka wa ubeberu na kuhakikisha anazungukwa na watu wazalendo wenye weledi.
Mnakosa staha mkirushiwa mawe mnalilia Legacy 🤣
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Kamfufue akawe raisi wa familia yako
Malaria bado haijaisha na usikute imepanda kichwani
 
Hapa sikutishi ila nakukumbusha tu huo ndio ukweli bro. Unamlaumu asiehusika anakula akiba zako au zetu ni Serikali. Angalia Serikali inadaiwa shilingi ngapi na mifuko ya wafanyakazi nchini ni trillions hiyo ndio hoja yangu.
Mi namlaumu kwa sababu alikuwa hapeleki hela yangu NSSF alikuwa akitulipa mshahara tnasain pet cash,tukienda kulalamika nssf maofisa wanakuja hapo ofisini wanampiga mkwara hakuna kinachoendelea mpaka nimeacha job niliyofanya kwa miaka 8 niliondoka sina cha nssf wala mini.
 
Wapigaji wengine wapo humu humu wamejificha na ID fake...swali langu lkni,je upigaji chini ya utawala wake ulitokomea kbsa,,au timu za wizi zilibadilika?
 
Back
Top Bottom