Hayati Dkt. Magufuli ndiye Rais aliyefaa kuiongoza Tanzania

Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Kamfufue uzikwe wewe
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Sema unamuhitaji Wewe. Maana akili yako nimeiona haina tofauti na washabiki wa simba na yanga Kama ulivyo Sema. Maana umejikita kumsifia magufuri kafanya mazuri sijui nini nanini.
Huyo mtu wako hajafanya mabaya?
Huoni kuwa mwananchi wakawaida amemfanya awe masikini
Kwaaji ya kuzificha hela na nakusababisha bidhaa za kiwandani kupanda bei?
kwasababu ya kupandisha ushuru Najua ulifurahi ukijua mfanya biashara amebanwa kwakukwepa kulipa kodi
Lakini hukujua mfanya biashara anacheza na hesabu ya kupata faida
Hapo Ndo utajua anaye lipa kodi ni mwanchi wa Kawaida ambaye ananunua bidhaa hizo kwa bei juu Ili mfanya biashara apate faida.
mkulima mwenyewe alitamani aache kilimo cha biashara kwa kukosa soko bei ya mazao kushuka
Lakini Leo Wewe unakuja jf kutupigia kelele Mimi binafis sikubaliani na Wewe acha kizigua mkuu
 
Sema unamuhitaji Wewe. Maana akili yako nimeiona haina tofauti na washabiki wa simba na yanga Kama ulivyo Sema. Maana umejikita kumsifia magufuri kafanya mazuri sijui nini nanini.
Huyo mtu wako hajafanya mabaya?
Huoni kuwa mwananchi wakawaida amemfanya awe masikini
Kwaaji ya kuzificha hela na nakusababisha bidhaa za kiwandani kupanda bei?
kwasababu ya kupandisha ushuru Najua ulifurahi ukijua mfanya biashara amebanwa kwakukwepa kulipa kodi
Lakini hukujua mfanya biashara anacheza na hesabu ya kupata faida
Hapo Ndo utajua anaye lipa kodi ni mwanchi wa Kawaida ambaye ananunua bidhaa hizo kwa bei juu Ili mfanya biashara apate faida.
mkulima mwenyewe alitamani aache kilimo cha biashara kwa kukosa soko bei ya mazao kushuka
Lakini Leo Wewe unakuja jf kutupigia kelele Mimi binafis sikubaliani na Wewe acha kizigua mkuu
Huyo huenda ana watoto shule za kata waliozowea kusomesha bure, sasa wameintroduce kamchango kidogo huko tayari ameshavurugwa!
 
Magufuli was a good manager but not a leader. He was a good infrastructure manager and not a good president, he believes in things, not in the welfare of his people. He was a bit inclined/believe his people from his tribe and area and marginalized the rest. If God could give him more time he could learn that he should not only embrace his people and be a president of the Country. He should lead the Country by considering all sectors. Other sectors are also very important than just building roads and bridges. He should have learned to work with others who think differently from him.
You are talking nonsense.

What about free education to Tanzanian Children, what about improving health sector to insure people and especially new mothers are not sleeping on the floors?

Magufuli made wazee to receive medical insurance easily and on time the same as pensioners who were receiving their pensions on time.

He had his advisers and he should be more considerate with deliberate attempts to sabotage his administration.

This country need another Magufuli who will insure that all nonsense which have come back now and sky-rocketing at highest speed, disappear for good.

Tanzania as a country need long term development plan and it took off as soon as he was sworn-in.

But because the crooks were not happy and because they were not his backers, the act of sabotage to his administration was inevitable.

We are watching what is currently going on in our country and the the answer to all this nonsense is on its way.
 
Huyo huenda ana watoto shule za kata waliozowea kusomesha bure, sasa wameintroduce kamchango kidogo huko tayari ameshavurugwa!
Alisema naumwa Maleria huenda Bado hapona huyo
Yaani anvyo msifia Magufuli utazani hakufanya baya hata moja huyo mtu wake
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
Lazima Tukubali kwamba hayupo .....
Amemaliza safari yake hapa duniani....

Hata akumbukwe vipi lakini hasikii tena na wala hana cha kutusaidia tena....

Kubalini tuu .... AMEFARIKI....
 
Habari wanaJamiiForums

Natumaini ni wazima wa afya binafsi nilikuwa naumwa Sana angalau sasa hiv nina unafuu nilikuwa nina Malaria tuombeane nipone kabisa.Tuje kwenye mada husika hapo juu unajua nimekuwa mfuatiaji kiasi fulani wa jukwaa Hili nimegundua kuwa members wa jukwaa hili hawana tofauti na ushabiki wa Simba na Yanga au Teams zile ambazo zipo mitandaoni sijui Team diamond,Team kiba n.k tunachukulia siasa kama ushabiki badala ya kuchukulia kama maisha.

Kupitia siasa nchi ndio inajengwa watu wamekuwa wakiabudu viongozi as if ni Mungu wakiwasapoti hata kama wanakuosea hapo unajiuliza hawa wanatofauti ipi na Team diamond au Team kiba? Wanaushabiki wa vyama as if hivyo vyama vinawasaidia kuondoa umasikini wa maisha yao wamefanywa mandondocha na wanajiona ok yaani Unaweza kukuta mshabiki wa Chadema anamshambulia shabiki wa CCM analipwa kutetea ujinga lakini na yeye mwenyewe anafanya kile kile anachofanya mwenzake.

Nije kwenye lengo kuu la uzi wangu kiukweli kutokana na hii nchi ilivyo mtu kama Magufuli ndio mtu pekee ambaye alituonesha uelekeo mzuri wa kutupeleka mbali. Hii nchi kuna baadhi ya mnatatizo yanazalishwa na watu kwa lengo lakupiga pesa na kama hakuna strong President ambaye ni mzuri kwenye ufuatiliaji kupigwa kuzidi kutaendelea, Mfano mzuri tangu aingie Magufuli madarakani hakujawi kuwa na shida ya maji kama ilivyo sasa hiv huku kwetu Kimara hii inaenda siku ya 5 maji hayatoki Waziri husika uko alipo anafanya Nini wanawanchi wanateseka jitu limekaa linakula kiyoyozi watu wa aina hii wakitumbuliwa baadhi ya watu especially wenye itikadi ya vyama wanasema Magufuli ana roho mbaya wakati hata yanatokea Mama samia anazurura nchi za nje.

Umeme sasa umekuwa unatikatika tofauti na kipindi Cha Magufuli kama unakumbukumbu vizuri Magufuli kama ajaingia madarakani wakati wa kampeni aliwapiga beat Tanesco na kweli tangu aingie ukusikia hata ile kasumba ya maji ya kidatu yamepungua.

Magufuli kakuta nchi ambayo nchi jirani zinachukua rasimali zetu ovyo ovyo Mara unasikia twigs kapandishwa ndege n.k lakini mwamba tangu aingie kuna wachina wameukumiwa vifungo virefu, mambo ya kutoroshwa mali asili kazibiti.

Kiufupi hii nchi Magufuli aliichukua likiwa imeoza na ndio maana akawa anajenga misingi we jiulize mtu kafariki muda mrefu still anapokea mshahara ndio maana akaanzisha kampeni ya kushafisha mafanyakazi hewa.

Kuna miradi Mingi hapo awali inachukua muda mrefu kukamilika ingawa haikustahili ifike huko ni kwasababu viongozi wetu hawakuwa wasimamizi tofauti na Magufuli ndio maana umeona chini yake flyover imekamilika kwa wakati madaraja mengi yamekamilika kwa wakati kwasababu hakiona mkandarasi haendi sambamba na kasi ya mradi anamfukuza hii imesaidia sana.

NB: Tanzania ina muhitaji mtu kama Magufuli ili ipige maendeleo tofauti na hapo nchi itakuwa unarudi nyuma kwa mambo mengi sana.
MAGU qlikuwa bora kiutendqji serikqlin ila demokrasia mmmh

CAG alitolewa kinyemela
TAL akapigwa risasi
Wapinzan walikimbia nchi
SEBAYA Musiba makonda wqlijiona wapo juu sn
 
Kule Afrika kusini makaburu wamefanya makubwa kuliko hayo lakini kwa ukatili wao walikataliwa sio tu na wananchi wa Afrika kusini bali dunia nzima kwahiyo hata hapa kwetu mtu mwenye chembechembe za ukaburu hatumtaki hata angefanya maendeleo gani.
Lakini kwa matatizo ya sasa ya maji kwa Dar na Pwani ni kutokana kupungua kwa kina cha maji kwenye mto Ruvu ambao ndio tegemeo la Dawasa katika upatikanaji wa maji wanayosambaza kwa wananchi wanaowahudumia je sasa unataka wakakojoe huko kwenye mto ili kina kiongezeke? Na swala la umeme waziri tayari ametoa ufafanuzi kwamba kwa muda mrefu kutokana na nidhamu ya woga TANESCO hawajakarabati miundombinu yao na hiyo sasa ndio inasababisha umeme kukatika kwa sababu imeanza kuchoka hivyo nao hivi sasa wameanza kukarabati miundombinu yao ya kuzalisha na kusambaza umeme na bila shaka kazi ikikamilika hali ya umeme itarudi kuwa ya kawaida.
Jifunze kupima uongo itakusaidia kujua kama unadanganywa ama vipi.

Zamani walisema umeme unakatika sababu ya kinachamaji katika bwawa. Sasaivi unaambiwa umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu walikuwa wanaogopa kufanya service, na wewe unameza tu!!.

Watu wanashindwa kuchanganya akilizao kutafuta solutions wanakuja na majibu yasiyo eleweka naweunakubalitu.
 
Mtu mwenyewe kisha kufa. Haya maadinko yote hata sijui yatasaidia nini. Sijui atafufuka na kuja kuchukia kiti chake cha uraisi tena! ?
 
Jifunze kupima uongo itakusaidia kujua kama unadanganywa ama vipi.

Zamani walisema umeme unakatika sababu ya kinachamaji katika bwawa. Sasaivi unaambiwa umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu walikuwa wanaogopa kufanya service, na wewe unameza tu!!.

Watu wanashindwa kuchanganya akilizao kutafuta solutions wanakuja na majibu yasiyo eleweka naweunakubalitu.
Wewe ulikuwa unamezeshwa uongo na Magufuli kwamba kila mradi unatekelezwa kwa fedha za ndani kumbe alikuwa anakopa kimya kimya hadi anakufa ameacha deni la kufa mtu.
Lilikuwa likijifanya mtu wa Mungu kumbe ni bedui lisilo na mfano, wote huo ni uongo uliomezeshwa na umeukubali.
 
You are talking nonsense.

What about free education to Tanzanian Children, what about improving health sector to insure people and especially new mothers are not sleeping on the floors?

Magufuli made wazee to receive medical insurance easily and on time the same as pensioners who were receiving their pensions on time.

He had his advisers and he should be more considerate with deliberate attempts to sabotage his administration.

This country need another Magufuli who will insure that all nonsense which have come back now and sky-rocketing at highest speed, disappear for good.

Tanzania as a country need long term development plan and it took off as soon as he was sworn-in.

But because the crooks were not happy and because they were not his backers, the act of sabotage to his administration was inevitable.

We are watching what is currently going on in our country and the the answer to all this nonsense is on its way.
Nonsense my foot, I do not have to dance your music that is my personal observations have yours and find a country to implement not again in this Country. Things should not be taken your way always, leave others to lead the Country and not rule.
 
Kinachoniuma roho wahindi wameanza kuibuka tena aloo,jamaa aliwapiga pin kwa kweli.

Sasa hivi wataanza tena kutuibia na kuweka mapesa wanayovuna kwenye acc zao nje ya nchi,sijui kama nssf watatupelekea tena hela zetu maweee twafwaa.
Wahindi wanahusikaje na NSSF anachota hizo hela ni serikali sio wahindi be careful na hoja zako.
 
Back
Top Bottom