Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,902
- 155,988
Tuanze kuua mmoja baada ya mwingine
Nimeguswa!. Very touching story.Nakumbuka bamdogo Kuveta aliuwawa siku ya tatu tu akiwa ametoka jela. Akiwa ameenda kulala kwa demu wake, siku hiyo ghafla usiku walivamiwa na kundi la watu zaidi ya 50 wakiwemo askari wenye silaha na sungu sungu wenye mapanga na kuanza kumshambulia. Maiti yake tulikuta ikiwa na majeraha makubwa kwenye maungio ya mikono yake, kifuani na kichwani.
😂😂😂😂😂Hakuna jela ya Tanzania ambayo hakuwahi kufungwa, na kote alipokwenda wababe mkwara walimpa heshima yake, na alikuwa mpaka na tandiko lake.
Si alikuwa kiongozi wa kikundi cha uharifu?Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote.
Wote walio husika kumuua karma inawahusu.
RIP Kuveta, Kamanda wa ommando Yosso.
P
Huu ndio upuuzi ambao mnamtukania nao Magufuli deile ila kimsingi inafikia kipindi kumuacha mshenzi aishi ni gharama kuliko kumu eliminate.Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote.
Wote walio husika kumuua karma inawahusu.
RIP Kuveta, Kamanda wa ommando Yosso.
P
Fxck you kalinde kaburi"Utadanganya baadhi ya Watu kwa muda mfupi, lakini si wakati wote wa maisha yao yote, popote duniani"
The Late JPM's legacy existence in TZ is still upgrading itself there, due to these roads mouses motions. Hence it was never ever heared, even present at everywhere in his overall presidency .
Yes, ni kama ulivyosema ni alikuwa!. Mtu ametoka jela juzi, hajafanya uhalifu wowote, yuko kwa demu wake, watu unamwingilia usiku kumvamia, kumkatakata mapanga, kumuua na kumjeruhi demu wake!. Wahusika wote karma itawahusu.Si alikuwa kiongozi wa kikundi cha uharifu?
Kutoka jela hakumaniishi aliacha ujambazi! Tena awamu hizo ililikuwa tabu sana kutofautisha rushwa na takirimaYes, ni kama ulivyosema ni alikuwa!. Mtu ametoka jela juzi, hajafanya uhalifu wowote, yuko kwa demu wake, watu unamwingilia usiku kumvamia, kumkatakata mapanga, kumuua na kumjeruhi demu wake!. Wahusika wote karma itawahusu.
P
People changes, maadam alitoka jela na hakufanya uhalifu wowote, then, there is no any justified cause ya kumuua!.Kutoka jela hakumaniishi aliacha ujambazi! Tena awamu hizo ililikuwa tabu sana kutofautisha rushwa na takirima
Hii ni kweli kabisaaa.Na mbaya zaidi ni watoto wetu na tumawajua ila tunaoneana aibu kuwataja na mwisho wa siku wanatufedhehesha tu
Kumbuka jela zetu hapa ni mara chache sana kumrekebisha mtu maana mara nyingi watu wanafungwa kwa kukomoana!People changes, maadam alitoka jela na hakufanya uhalifu wowote, then, there is no any justified cause ya kumuua!.
Na kwa tukio hili lilitokea siku nyingi, wahisika wote kila mmoja ameisha lipwa na karma, kwa kadri ushiriki wake katika dhambi ya mauaji ya mtu asiye na hatia.
P
Haya mkuu.Huyu ni R.I.H
Hakika mkuu, Mrema anatakiwa ashirikishwe kama mshauri kwenye mikutano yao ya ulinzi na usalama, huko wilayani Temeke, Ilala, Ubungo, Kinondoni nk. Nina imani amani itapatikana upya, na nchi itakuwa salama. Watanzania iombeni serikali irudishe OPARATION MREMA, bila hivyo hakuna uhalifu utakaoisha.Wamrudishe Mrema kuwa mshauri
Jiwe gizaniFxck you kalinde kaburi
Ya ni kweli kabisa hawa ni watoto wetu wenyewe. Lakini katika jamii kuna watu ambao hawana watoto wa aina hiyo, na wanachukizwa zaidi na matendo hayo. Ila ndo hivyo hawana pa kusemea kwa kuogopa usalama wao. Sasa ikianzishwa oparation kama ile ya Mrema ni wewe mwenyewe kwenda kimya kimya katika ofisi ya waziri wa mambo ya ndani (enzi hizo Mrema) unaacha kikaratasi tu cha jina au majina ya muhusika, na anuani yake afu unaondoka. Wazee wa kazi wanaangalia rekodi ya jina la muhusika au wanatuma vijana wao kimya kimya kuja kufanya upelelezi eneo hilo bila ww uliepekea jina kuhusishwa. Wakishajiridhisha tu basi usiku unaofata kazi inaanza, na watapumzika wakishamaliza lengo lao, afu ndugu/wazazi mnakwenda kubeba mzigo wenu mnazika. OPARATION MREMA inahitajika haraka iwezekanavyo.Na mbaya zaidi ni watoto wetu na tumawajua ila tunaoneana aibu kuwataja na mwisho wa siku wanatufedhehesha tu
Oparation MREMA ndio suluhisho.Tuanze kuua mmoja baada ya mwingine
Kweli kabisa mkuu it was very sad wahusika wale wa OPARATION MREMA kuchukua uhai wa baba yetu mdogo, lakini kwa kipindi hicho hizi oparation zilikuwa haziangalii kama ulihusika na tukio la uhalifu kwa kipindi hicho au haukuhusika. Lengo lilikuwa ni kutokomeza vijana wote waliokuwa wanahusika na uhalifu mbali mbali miaka hiyo.Nimeguswa!. Very touching story.
Sijapenda jinsi starring alivyo uwawa bila kosa lolote!.
Wale wote walio husika kumuua kamanda huyu bila kosa lolote, karma inawahusu.
RIP Kuveta, Kamanda wa Commando Yosso.
P
Hahaha 😂🤣🤣 mkuu huyo Kuveta hakuwa wa kufanyiwa masihara hata sekunde 1. Iwe jela, makundini au mtaani, watu wote walifyata mbele yake. Nina hakika mkuu Mshana Jr , Pascal Mayalla na wengineo wengi wa miaka hiyo itakuwa aidha kama hawakuwahi kumuona kwa macho basi walikuwa wanamsikia mitaani.😂😂😂😂😂