Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 639
- 1,902
Members muda huu usiku wa 3:44 tarehe 03/05/2022 nimeshuhudia kwa macho vijana wadogo wanawake na wanaume wakiwa na malungu, Fimbo na huku wakicheka kwa kujiamini kabisa pembezoni mwa nyumba yangu maeneo ya BOKO
Ni eneo kuanzia Basihaya mpaka chama, Ninaishi eneo la katikati ya maeneo hayo
Nilisikia kundi la sauti za watu nikashutuka usingizini nione ni akina nani, Nikaamua kupandisha pazia kidogo na kuchungulia dirishani kwangu kwa kupanda juu ya kitanda nilichoona ni watoto wadogo hata miili hawana kabisa
Walisimama kama wanaangalia angalia ghafla wakaendelea na safari yao ni kundi kama la watu 15 hivi
Na hapa mtaani tuna Sungu Sungu tangu zamani lakini sijawahi ona Sungu Sungu ya watoto wa kike tena wadogo wadogo na wakiume usiku huu wa manane
Watoto wa Kike wamejichanganya na wanaume wakiwa na malungu
Tuanze operesheni ya kudeal na hawa watoto wanaokaa vijiweni wakati wa shule,
Kuna ongezeko kubwa sana la vijana maeneo hayo ya Basihaya mpaka chama sijui wametoka wapi, Ni vijana wadogo wadogo unawakuta vijiweni jioni Unapotoka kwenye mihangaiko
Ni eneo kuanzia Basihaya mpaka chama, Ninaishi eneo la katikati ya maeneo hayo
Nilisikia kundi la sauti za watu nikashutuka usingizini nione ni akina nani, Nikaamua kupandisha pazia kidogo na kuchungulia dirishani kwangu kwa kupanda juu ya kitanda nilichoona ni watoto wadogo hata miili hawana kabisa
Walisimama kama wanaangalia angalia ghafla wakaendelea na safari yao ni kundi kama la watu 15 hivi
Na hapa mtaani tuna Sungu Sungu tangu zamani lakini sijawahi ona Sungu Sungu ya watoto wa kike tena wadogo wadogo na wakiume usiku huu wa manane
Watoto wa Kike wamejichanganya na wanaume wakiwa na malungu
Tuanze operesheni ya kudeal na hawa watoto wanaokaa vijiweni wakati wa shule,
Kuna ongezeko kubwa sana la vijana maeneo hayo ya Basihaya mpaka chama sijui wametoka wapi, Ni vijana wadogo wadogo unawakuta vijiweni jioni Unapotoka kwenye mihangaiko