vyovyote vile ila ndo ivyo tupo fainali,we utaskia hizi vitu lkn hugusi hizi levoPamoja na kupewa dege na Rais bure kuwasafirisha yanga kwenda Algeria, naskitika kusema hapa kwamba tarehe 3/6/23 uto atapokea kipigo kama cha ngedere aliyekula parachichi za mkinga.
Fainali ya kombe la losers ina faida ganivyovyote vile ila ndo ivyo tupo fainali,we utaskia hizi vitu lkn hugusi hizi levo
Kama unafikiri ndege inatolewa tu bure kwa kila timu na kila hatua wambie alliance girls nao waombe kama watapataPamoja na kupewa dege na Rais bure kuwasafirisha yanga kwenda Algeria, naskitika kusema hapa kwamba tarehe 3/6/23 uto atapokea kipigo kama cha ngedere aliyekula parachichi za mkinga.
Dege la kuwarudisha UTO kishujaa na Medali za CAF .Pamoja na kupewa dege na Rais bure kuwasafirisha yanga kwenda Algeria, naskitika kusema hapa kwamba tarehe 3/6/23 uto atapokea kipigo kama cha ngedere aliyekula parachichi za mkinga.
Halafu dogo, Ali Kamwe, hajamuomba msamaha yule mzee wa Handeni. Unafikiri uto atatokaje?Kila nikikaa nikitafakari naona goli 4-0
MWARABU umempulizia SUMU.
MWARABU yupo kwake.
MWARABU analiona Kombe.
MWARABU amekupiga kwako.
Bado tu wanadhani watapindua MATOKEO.
4
mmesha dataa nyie utopwengaaaDege la kuwarudisha UTO kishujaa na Medali za CAF .
Kama hukuelewa, serikali imetengeneza Political Mileage sababu hata Uto akifa Algeria wataipokelewa kishujaa na serikali.
Punguza kasiriko mkuu.
Waiongelee kwani hawajipendi hadi wajitakie kufa kizembe sababu ya stressSiku hizi hamuongelei timu yenu wala hamtaki kuisikia
Yanga hajapewa wala hakubeba bendera ya TanzaniaKila la kheri kwa Tanzania...
Nimekutana na mzee andazi kwamsisi tarehe 3 mtalala na vyatuHawa watu makolonyau shida sana