Haya si maandamano ya amani, hizi ni vurugu sasa

Marekani ina kundi kubwa sana la Hopelessly, haswa hawa wazamiaji wanaoenda bila dira yohote wakifika huko maisha huwachakaza vibaya mno,

Kwa hivyo inapotokea fursa kama hii wenye huita ridhiki,chochote anachokutanacho huona kinamfaa
Hili la wazamiaji sasa naona umeamua kumchimbachimba muanzisha mada 😀 😀 😀
 
Ungefanya nini?

You will never ever be able to win a fist fight with me.

Kama unadhani unaweza, let’s make it happen.

Anytime, anyplace, anywhere, anyhow....bring it on.
...teh teh teh 😃😃 😃... Sidhani kama alimaanisha unavyofikiria yaani huenda mngepimana ubavu.

Anyway chukulia poa tu.
 
Unajua, ni hivi...ingekuwa labda wameenda na kuvamia makao makuu ya FOX News, ningeelewa [ingawa nisingeafikiana nao].

Sasa CNN iko na mrengo wa kushoto. Mrengo ambao wengi wa hao wafanya vurugu naamini wanashabihiana nao.

Au, ingekuwa ni wale wazee wa MAGA ndo wameenda na kufanya fujo hapo makao makuu ya CNN. Ningeelewa pia. Maana ni watu wenye mirengo isiyoendana kabisa.

Kama hao wazee wa MAGA wangeenda na kulianzisha kwenye makao makuu ya FOX News, isingeingia akilini.

Ngoja niishie hapo. Kama unauelewa wa kutosha, basi walau utakuwa umepata mwanga.

La, baki na ujinga wako....na ukikasirika kwa sababu nimesema baki na ujinga wako, utakuwa umethibitisha ujinga wako....
Mirengo ya siasa na media za Marekani watu wengi humu hawaelewi kabisa,yaani unakuwa kama unampigia mbuzi gitaa..Hapo ndio kuna chimbuko la mambo mengi ya kisiasa marekani,sasa mkuu unamaliza calories zako bure..Watu wanendeshwa na mihemko tu humu,achana nao
 
Binafsi naunga mkono hizo vurugu, bila hivo weusi watauawa wengi na hata wasipouawa manyanyaso yatakuwa mengi bora kulianzisha atakayeleta mauaji akae akijua nin kitatokea.
mimi upande mmoja naunga upande mmoja siungi ila kama amani yao wataipata kwavurugu bora waendelee kukiwasha tuu maana hakuna namna sasa.....
 
Umejibu kwa hasira yaan hahah hahaha but point
Aisee wewe bwege kweli, umewahi kufika USA na kuyaona hayo unayoandika hapa
Toa ujinga wako wa ki CCM hapa, Nimefika Marekani mwaka jana na nilibahatika kutembelea, Alaska, Portland, New York City, Milwaukee na Orlando, Marekani hakuna maisha magumu wewe, kaa huko Tandale na tabu zako
 
IMG_20200601_011756.jpg

Screenshot_20200531-213512.png

IMG_20200531_213551.jpg

Yaani Hawa Askari wanalenga macho tu na risasi zao za mupira,waandishi wengi wamekuwa chongo kwenye maandamano hayo
 
Walalahoi wa Marekani wanaiona CNN kama choo kwa kutowapigania haki na mustakabali wao, kama ambavyo vyama vya upinzani barani Afika vinavyovichukulia vyombo vya habari vya umma katika nchi nyingine maskini duniani. Wakipata mwanya wanatoa hisia zao kwa vitendo!
 
Duh!

Weka source....

Rais wa Marekani hachaguliwi na States zote.

Huna ujualo wewe zuzu.
Nilikuwa sijui kwamba kumbe wewe ni zuzu la kutupwa. Huwa sibishani na mazuzu. Waamerika wanataka na wanadai mabadiliko na wameamua kuyadai mabadiliko hayo kwa njia hiyo protest nchi nzima. Sasa ni siku ya saba wanaendelea kufanya hivyo, wamekubali ku risk maisha yao kwa covid 19. Wewe zuzu unawabeza! Kweli wewe ni zuzu la kutupwa. Endelea na uzuzu wako.
 
Back
Top Bottom