Haya si maandamano ya amani, hizi ni vurugu sasa

Kwa maoni yangu, tatizo sio kukamatwa kwa wale askari watatu, kinachotakiwa kufanywa ni KUTOKOMEZWA kabisa tabia ya kibaguzi ya vyombo vya usalama vinapo deal na watu weusi na pale inapo deal na watu weupe

Kuwe na usawa, kila mtu ashugulikiwe kwa haki, pale inapobainika / kuhisiwa kuwa kafanya kosa bila ya kujali rangi yake
Ubaguzi ni Tabia ya mtu binafsi tu, haijaandikwa kuwa mtu mweusi anapokamatwa anatakiwa afanywe vile, Ni Tabia binafsi ya Askari ambayo kuidhibiti ni ngumu sana
 
Nimeshangaa sana ...nchi ambayo ndio inaaminika kuwa baba wadunia na mbabe wa uchumi katika kila sekta .. Kumbe ina wananchi wake wenye njaa kiasi kwamba wanaiba mpaka masufuria nepi za watoto

Kweli propaganda sio kitu cha mchezo mchezo
Kwani unaelewa vipi maana ya nchi kuwa na uchumi mkubwa? Kuwa Kila mwananchi ana maisha Bora?
Hivi hujui kuwa US Kuna watu ambao wanaishi na kulala mtaani 'homeless'?

Kwani ulikuwa unadhani US kwa kuwa ana uchumi mkubwa ndio anaongoza kwa wananchi wake kuishi maisha mazuri?

Unafahamu kitu kinaitwa HDI Index?
 
mzee turampet natamani hii petrol alioshika aitie katika huu moto unao waka ili watu wamnyooshe maana akili hana
 
View attachment 1466068
Imebidi wazime taa,,kuashiria hakuna mtu ndani,wote wako handakini

Hiyo ni picha ya zamani kumbe!

Fake news ni janga kubwa sana katika hizi zama za mitandao.

Halafu kumbe taa huwa zinazimwa hapo White House kila saa tano usiku [11:00pm].

Huo ndo utaratibu wa siku zote.

Soma hapo chini....

Viral Photo of White House ‘Going Dark’ That Was Shared by Dems Is from Before Trump Presidency

62988de6a69205cf00f7f8d5d6ded8d0

A viral photo showing the White House with its lights off, shared by numerous Democrats during demonstrations in Washington, D.C., is at least five years old and was edited to make it seem darker, the Associated Press reported on Monday.

The image can be found in Getty Image’s stock photo collection. The original photo shows the lantern on the White House portico and several lights around the fountain in the lawn as lit, while in the doctored image these lights are blacked out.

[SUB]Source[/SUB]
 
USA walikuwa wanawacheka China kuhusu maandamano ya Hong Kong, naona Mchina yupo kimya tu anaendelea na shughuli zake kama vile hakuna kitu.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom