Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,954
- 4,326
Wewe ndiyo zuzu. The President of the USA is the Commander in Chief wa majeshi yote ya USA. Anachaguliwa na states zote.Wewe jamaa ni zuzu kabisa. Juha kabisa.
1. Ni wapi na lini Trump kawaamrisha polisi wa Minneapolis wawapige risasi hao waleta vurugu?
2. Marekani hakuna central police.
3. Suala la policing Marekani si suala la federal government. Ni suala la local governments.
4. Trump hana mamlaka yoyote yale juu ya polisi wa Marekani. Hana hayo mamlaka.
Naona una kichwa kizito kiasi kwamba unadhani au huelewi kuwa Marekani, Rais wake hana hayo mamlaka.
Yawezekana nabishana na mtu ambaye hajui chochote kuhusu suala la policing lilivyo Marekani, na hajui hata kuwa hajui.
Narudia tena, Rais yeyote yule wa Marekani hana mamlaka hayo.
Umeelewa?
Au unadhani Rais wa Marekani ni kama alivyo Rais wa Tanzania mwenye mamlaka hadi ya kuteua mkuu wa mapolisi na maafisa wengine wa polisi?
Unaweza kuniambia chief of US police ni nani na kateuliwa lini na kateuliwa na nani?