ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,135
- 2,976
Moja kwa moja kwenye mada!!
Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!
Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??
Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!
Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.
Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!
Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??
Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!
Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.