Kwa sasa yanga ni timu ya daraja la juu Afrika

Program Manager

JF-Expert Member
Aug 6, 2018
2,517
3,441
wasafifm-20230615-0001.jpg


Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi kwa wadhamini, viongozi, wadau, wachezaji, wanachama na mashabiki wa Wananchi Young Africans SC kwa mchakato, uwekezaji na mafanikio waliyoyavuna kwa misimu miwili mfululizo na kutwaa vikombe:
  • Ngao ya jamii x2
  • Ubingwa wa ligi kuu NBC X2
  • Azam sports federation cup x2
  • Kucheza fainali ya CAFCC na kushinda ugenini dhidi ya USMA ambao wametwaa Ubingwa kikanuni tu.
Well done wananchi.

Baada ya hayo yote waliyoyapanda na kuvuna hatimaye kocha mkuu Nabi na baadhi ya staff wa technical benchi wamepata soko kwenye vilabu vingine ambavyo vimehitaji huduma zao, sawa mpira ni biashara wacha waende na ni wakati sahihi kwao kutafuta changamoto sehemu nyingine kwani wameshatengeneza mazingira ya kufanya hivyo, a good dancer must know when to leave the stage.

Kilichonipush kuandika uzi huu ni baada ya kusikia kutoka vyanzo vya kuaminika vya Yanga kuwa siku moja baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga Nesredine Nabi kuondoka klabuni hapo wamepokea maombi ya kazi kutoka kwa makocha zaidi ya 1000 duniani na wenye CV kubwa wakiwemo.

Pia kuna tetesi zinazidi kusambaa katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya kuaminika vya habari vikiihusisha klabu ya Yanga kuwa kwenye mazungumzo na kocha wa zamani wa Al Ahly ya Misri kocha wa soka mwenye daraja ya juu kabisa barani Afrika naye si mwingine bali ni Pitso John Hamilton Mosimane ambaye hivi karibuni pia amevunja mkataba wake na timu aliyokuwa akiitumikia ya Al ahli Saudi ya Saudi Arabia kutokana na mgogoro wa kimaslahi.

Kabla sijataka kujiridhisha usahihi wa tetesi hizi imenibidi kwanza kuipa rank ya juu kabisa klabu ya yanga kwa sababu mbili.

1. Kuhusishwa kuwa na mazungumzo ya kimkataba na kocha Mosimane, kocha mwenye daraja ya juu kwa sasa Afrika. Klabu kubwa itahusishwa na wachezaji na makocha wenye profile kubwa.

Kama ni kweli na watafanikiwa kupata huduma ya Mosimane basi yanga watakuwa wamelamba dume na siyo garasa. Pitso ni bingwa mara kadhaa kwenye Ligi ya Mabingwa barani afrika na ndoto ya Yanga ni kufanya vizuri kwenye ligi ya mabingwa.

2. Njia waliyoipitia yanga na mafanikio waliyoyapata inafanya kuwa moja ya klabu yenye uzani wa juu kwa sasa Afrika, ukweli usemwe kuwa yanga imejitambulisha vyema msimu huu ulioisha na sasa kuelekea msimu wa 23/24 timu itasomeka kama moja ya giants na siyo underdog tena, wameprove kwenye shirikisho sasa kazi imebaki kwenye klabu bingwa.

Nb:si mbeya City, Mtibwa, Mbao, wala klabu yoyote ya uzani wa chini inayohusishwa na kocha mkubwa bali ni vigogo wakuu Dar Young Africans SC daima mbele nyuma mwiko pekee, kwanini? Kwa sababu kwa sasa ni one of the most Giant football clubs in Africa.

MWISHO.
 
Ila kujipa moyo kwingine huku kunatuacha na vicheko wengine.

Eti USM ALGER alikuwa Bingwa kikanuni, kwani we ile penati hukupata kikanuni?

Kitu gani ambacho kinafanyika bila kanuni?

Mwanzo wa mechi hamkujua kuwa kuna kanuni hiyo ambayo itaenda kuamua matokeo?

Sisi tuliwafunga Wydad hapa, wao wakatufunga kwao, kanuni ya kupiga matuta ndio iliyowapa kibali cha kusonga mbele.

Lakini huku mkandaa na matamasha kwa ajili ya kutucheka.

Afu unajisifu kucheza fainali ya CAF, yes itakuwa mchongo endapo tutajua ubora wa mpinzani wako uliyekutana naye.

Sasa unacheza na timu ambayo inapigania kutoshuka daraja then unaona hapo umefanya progress?

Umekutana na mfupa gani mgumu ambao ukatumia kupima uwezo wako kwa kumdhibiti mpinzani?

Utasema Marumo ile ya uzaramuni ambayo mpaka saizi naandika tayari ishashuka daraja? Au wale Rivers ambao mlishangilia ile siku mmepangiwa nao kwenye draw ya robo fainali?

Kiukweli sio vibaya kujipongeza kwa kufikia hatua fulani ambayo awali hukuwahi kuifikia, ila kujipongeza kwa kujiona wewe ni Big fish ukajiweka nafasi za juu wakati hujawahi kukutana na upinzani ambao ni mgumu basi huko ni kujipa matumaini hewa.
 
Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi kwa Wadhamini,viongozi,wadau,wachezaji,wanachama na mashabiki wa Wananchi Young Africans SC kwa mchakato, uwekezaji na mafanikio waliyoyavuna kwa misimu miwili mfululizo na kutwaa vikombe:
Ngao ya jamii x2
Ubingwa wa ligi kuu NBC X2
Azam sports federation cup x2
Kucheza fainali ya CAFCC na kushinda ugenini dhidi ya USMA ambao wametwaa Ubingwa kikanuni tu.
Well done wananchi.

Baada ya hayo yote waliyoyapanda na kuvuna hatimaye kocha mkuu Nabi na baadhi ya staff wa technical benchi wamepata soko kwenye vilabu vingine ambavyo vimehitaji huduma zao,sawa mpira ni biashara wacha waende na ni wakati sahihi kwao kutafuta changamoto sehemu nyingine kwani wameshatengeneza mazingira ya kufanya hivyo,a good dancer must know when to leave the stage.

Kilichonipush kuandika uzi huu ni baada ya kusikia kutoka vyanzo vya kuaminika vya Yanga kuwa siku moja baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga Nesredine Nabi kuondoka klabuni hapo wamepokea maombi ya kazi kutoka kwa makocha zaidi ya 1000 duniani na wenye CV kubwa wakiwemo.
Pia kuna tetesi zinazidi kusambaa katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya kuaminika vya habari vikiihusisha klabu ya Yanga kuwa kwenye mazungumzo na kocha wa zamani wa Al ahly ya misri kocha wa soka mwenye daraja ya juu kabisa barani Afrika naye si mwingine bali ni Pitso John Hamilton Mosimane ambaye hivi karibuni pia amevunja mkataba wake na timu aliyokuwa akiitumikia ya Al ahli Saudi ya Saudi Arabia kutokana na mgogoro wa kimaslahi.

Kabla sijataka kujiridhisha usahihi wa tetesi hizi imenibidi kwanza kuipa rank ya juu kabisa klabu ya yanga kwa sababu mbili.

1.Kuhusishwa kuwa na mazungumzo ya kimkataba na kocha Mosimane, kocha mwenye daraja ya juu kwa sasa Afrika. Klabu kubwa itahusishwa na wachezaji na makocha wenye profile kubwa.Kama ni kweli na watafanikiwa kupata huduma ya Mosimane basi yanga watakuwa wamelamba dume na siyo garasa.
Pitso ni bingwa mara kadhaa kwenye ligi ya mabingwa barani afrika na ndoto ya Yanga ni kufanya vizuri kwenye ligi ya mabingwa.

2.Njia waliyoipitia yanga na mafanikio waliyoyapata inafanya kuwa moja ya klabu yenye uzani wa juu kwa sasa Afrika, ukweli usemwe kuwa yanga imejitambulisha vyema msimu huu ulioisha na sasa kuelekea msimu wa 23/24 timu itasomeka kama moja ya giants na siyo underdog tena,wameprove kwenye shirikisho sasa kazi imebaki kwenye klabu bingwa.
Nb:si mbeya City,mtibwa,mbao, wala klabu yoyote ya uzani wa chini inayohusishwa na kocha mkubwa bali ni vigogo wakuu Dar Young Africans SC daima mbele nyuma mwiko pekee ,kwanini? Kwa sababu kwa sasa ni one of the most Giant football clubs in Africa.

MWISHO.
Mi ndiyo maana sipendi watu wapigepige picha na mimi maana wanaweza kwenda kuombea mikopo bank bila mimi kujua.
 
Yaani hapo tu mmeshaanza kujiita timu ya daraja la juu
Mngechukua kombe si mngesema ninyi ndiyo no 1 team in Africa?

Mosimane hawezi kuja Yanga acheni kuota vijana , kwa project ipi iliyopo hapo kocha atoke kulipwa karibu milion 500 monthly aje kwa uto ambao naamini msimu huu tu usajili hawawezi kutumia hata 2bil ?

Be serious
 
Ila Utopolo 🤣🤣🤣! Leteni zile rank zenu za kuingia top 5 Afrika kwa kucheza fainali za kombe ambalo hata mngelichukua msingelitetea mwakani, mngelitelekeza na kuanza na club bingwa dhidi ya Zalan
 
Back
Top Bottom