Mapunguani ni wengi sana Tanzania. No wonder we are still in dark age.
Ni kweli aisee! waadilifu kama Uhamiaji.Watu wafukunyuku aisee...
Wanfanana ila inawezekana isiwe hivyo...
Serikali ya TZ na Chama tawala kina watu waadilifu sana...
Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Binti yake amejifungua USA ...
Naona CHADEMA wamepata pa kupumuliaDuh!! Haya bana...
Kwa utaratibu huu ndio maana kila mwanasiasa anafanya lolote liwalo aweze kuingia ikulu.Wengi kwa sasa udenda unawatoka wanaona jinsi mshua anavyojiachia na kodi zetu.Maskini tanzania tutaendelea kulia hadi twaingia kaburini
Acheni kupotosha nyie Mburulaz. Hapo Rais Kikwete alikuwa kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na hao anaosalimiana nao ni maafisa ubalozi. Nye mlitaka afuatane na Obama kwenye ubalozi huo?
Angalia hii.
![]()
Maandamano vipi?
Hizo picha zimechukuliwa kule Michuzi Blog. Nashangaa aliyeweka picha hizo ameshindwa kuandika na maelezo yaliyopo chini ya hizo picha
tutajie majina yao. haya kuanzia kushoto ni....
Jamani huyo bodyguard nini hicho kabeba?. Mh!.
Angalia hii.
![]()
Nexttime aende na wasira na lukuvi nao wakaoshe bwana
Marekani ni Taifa kubwa ambalo kila Siku Marais hadi 20 wa dunia minimum wanakuwa Huko kwa sababu Moja au ile .....,so mataifa Kama haya au pale Brussels ,London ,Dubai ..etc ...at least mataifa yote makubwa ....Rais akipita hapo ...Anatoa tu taarifa ...Balozi wake anampokea akishuhudiwa na junior Protocal officers wa Nchi husika ...na security details mfano marekani wanatoa walinzi wawili ....unless risk assessment inaonyesha kiongozi husika Ana maadui ....mfano Kagame...Ana windwa na wapinzani wa Serikali yake so anaweza kupewa ulinzi mzito kuliko JK
Kwa Rais wa Nchi Kama Tanzanja ambaye Hana tatizo na Watanzania wanaoishi nje ...hatuna wakimbizi wa Moja kwa Moja ambao wanaweza kuandamana au kumrushia Mayai..
Kwenye Nchi zilizoendelea Rais hupewi mapokezi Rasmi Kama tu KAALIKWA ZIARA RASMI..YAANI STATE VISIT...na Mara nyingi hupokewa Rasmi Ikulu husika kwa Gwaride na Protocal zote ...na sio Kama hapa tunafanyia airport na kuhimiza watu kujipanga barabarani...
Sawa hapo ni ubalozini, na hapa napo ni ubalozini? Tuwe na aibu kidogo na yanayoendelea kwetu maana huwezi kuyaona hata kwa Rais wa Comoro.
View attachment 186686