Haya ndo mapokezi ya Rais Kikwete USA

Haya ndo mapokezi ya Rais Kikwete USA

Mkuu, maandamano vipi? Naona unaendeleza mjadala wa kipumbavu huu

Mkuu Lizaboni natambua kwamba bila siasa za ccm na hasa hawa waliopo sasa huwezi kuishi hata kwa miezi miwili ( lazima ufe njaa ) , pamoja na hilo unadhani kinachoendelea bmk ni sahihi ? Maandamano ni lazima .
 
Acheni kupotosha nyie Mburulaz. Hapo Rais Kikwete alikuwa kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na hao anaosalimiana nao ni maafisa ubalozi. Nye mlitaka afuatane na Obama kwenye ubalozi huo?

Weka picha hapa utuonyeshe kikwete anapokelewa na waziri wa serikali ya USA akiwa huko (achilia mbali Obama ambae hawezi kuwa na muda mchafu wa kupoteza ili kumpokea rais mburula)!
 
Kwa hiyo kama Rais hapewi umuhimu na serikali ya Taifa alilolitembelea, anakuwa amekwenda kufanya nini ambacho ameshindwa kukifanya akiwa nyumbani?

Kwani huku nyumbani unaweza kuwaona akina Beyonce Rihana Jay-Z Drake Rick Ross na Nick minaji au ukawaona waigizaji wakubwa wa hollywood kama kin Jason Denzel na kina Nicolous cage au huku tanzania kuna bembea zinazopaa juu?
 
mgeni siku ya kwanza mpe ubwabwa na samaki, siku ya pili mpe,..., siku ya saba mpe JK jembe akalime
 
Nauza Compressor aina ya IWATA minicom, ni ya mtumba, ipo katika hali nzuri,
nauza hii kwa sababu ninayo nyingine

njoo PM
 
Angalia hii.
attachment.php

Jamiiforums basi jamani!!
 
Mie nlitaka kumuona yule kijana somebody mavura ananikosha mnooo....
 
Mapunguani ni wengi sana Tanzania. No wonder we are still in dark age.

Punguani ni tusi,Maadam please,tusaide tuelewe hapo umememaanisha nini?
Punguani kwa walio shiriki kuandaa safari ya JK au punguani kwa kuacha Mhesimiwa asafiri miezi 15 kabla ya next election.
 
uwa naangalia channel za marekan ata hawatangazi kama amekuja na wala hapokelewi na viongozi wa Marekani.

Mi nashangaa sana ilo.Sijui kwa vile anakuja uku kila siku
 
Kwa hiyo kama Rais hapewi umuhimu na serikali ya Taifa alilolitembelea, anakuwa amekwenda kufanya nini ambacho ameshindwa kukifanya akiwa nyumbani?

Sasa Nchi kubwa Kama marekani...kuna Marais wanaenda pale wana appointment UN,IMF,WHO...wengine wana appointment na magavana....wafanyabiashara ....etc na unaambiwa in average kila Siku hadi Marais au vwawakilishi wa mataifa 20 wanapishana ...Kama Rais wa marekani angetakiwa kuwaona wote basi asingefunya kazi nyingine....
So Marais wa Mataifa makubwa huwapokea tu wale wenye mualiko wao Rasmi ....Zaidi Secretary of State ....tena ofisi yake hutuma maafisa wa kawaida kuwapokea na kuwapa ulinzi

Hapa Kwetu au hataa nchi jirani...Rais hupokea hadi Marais wanaosimama kujazia mafuta ndege Zao kwa kuwa Ana muda ...Huo. ..na pia hawapiti kila Siku ...nadra ..so hashindwi ...lakini hata ukienda hapo South Afrika ...Rais wao hawezi kupata courtesy call ...kwenye VIP lounges airports kwa kila Rais anayefanyaa connection flight OR Tambo...unless kuna serious business

Nafikiri hata hapa Kwetu Siku Jumuia ikikua na ikafanya mji Kama Arusha ,Makao Makuu ya jumuia ...Marais na VIONGOZI WAWE wanakuja kila Mara ...Rais wetu hata kuwa na muda wa kwenda kuwaona wote unless kuna issues ..na itabidi ofisi ya mambo ya nje iwe na dawati kwa Mkuu wa Mkoa ...na uwanja wa ndege ...kuratibu mambo Kama hayo
 
Back
Top Bottom