Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Atakuwa mtoto wa babake mkubwa!Huyo wa pili kutoka kulia aliyevaa full black mbona amefanana na William LUKUVI? Wana undugu?
Atakuwa mtoto wa babake mkubwa!Huyo wa pili kutoka kulia aliyevaa full black mbona amefanana na William LUKUVI? Wana undugu?
Mapunguani ni wengi sana Tanzania. No wonder we are still in dark age.
Kwani hivyo vifurushi unanunua mwenyewea. Una fedha wewe ya kununua kifurushia. Si unapewa tu na akina Mbowe?
labda hapo ni home kwa baloziBaadhi ni maafisa wa Serikali
Teh teh! Mkuu comments zako huwa zinaniacha hoi!Obama anashughuli nyingo hawezi kuwa kila mwezi anampokea kikwete huko usa.
Wote wanaoonekana kwenye picha ni wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani
Huyo wa pili kutoka kulia aliyevaa full black mbona amefanana na William LUKUVI? Wana undugu?
jamaa si kaenda likizo hom?Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Sawa hapo ni ubalozini, na hapa napo ni ubalozini? Tuwe na aibu kidogo na yanayoendelea kwetu maana huwezi kuyaona hata kwa Rais wa Comoro.
View attachment 186686
Itabidi kuwe na utaratibu wa MH. kuomba visa pale ubalozini. Maana kila kukicha yupo unyamwezini anakula maisha tuu wakati wabongo tunateseka njaa kali
Jamani huyo bodyguard nini hicho kabeba?. Mh!.
Angalia hii.
![]()
Mfuko wa sandarusi
Angalia hii.
![]()