Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Maandamano vipi?Nexttime aende na wasira na lukuvi nao wakaoshe bwana
Nyie hamuandamani?Itabidi kuwe na utaratibu wa MH. kuomba visa pale ubalozini. Maana kila kukicha yupo unyamwezini anakula maisha tuu wakati wabongo tunateseka njaa kali
Hizo picha zimechukuliwa kule Michuzi Blog. Nashangaa aliyeweka picha hizo ameshindwa kuandika na maelezo yaliyopo chini ya hizo pichaObama anashughuli nyingo hawezi kuwa kila mwezi anampokea kikwete huko usa.
We unalipa kodi saa ngapi wakati kila siku upo na keyboars?Masikini kodi zetu!
Wote wanaoonekana kwenye picha ni wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini MarekaniBaadhi ni maafisa wa Serikali
Wadau tusaidiane,hivi kweli sahihi kwa rais kutembelea nchi nyingine na akapokelewa na wananchi wake wanaoishi huko tu?
![]()
Maandamano vipi?
Anajipendekeza kwa obama tu mwenzake hana time nae wala nini ni rais mbovu kuliko wote tz rais ------???