Haya ndiyo mapenzi

Haya ndiyo mapenzi

Wakuu
Hii kitu naikataa. Tatizo letu ni kwamba hatuna subira. Mapenzi ya kweli hayafosiwi wala hayana haja ya kutongozana.

Kuna kitu kinaitwa love at first sight ambachi huja kwa wale wenye subira tu. Nashukuru Mungu nime experience tokea niko teenager.
Na sio kwamba sijawahi pata mateso kwenye mapenzi, No ila huko nilikopata tabu asilimia kubwa ni yale niliyotongoza.
Nashauri pia tusome kuhusu makundi ya nyota.Kwanza ujijue wewe ni kundi lioi na lina silika ipi na uijue ya huyo mwenzako hapo mtaendana sana. So unakuta mwanamke ni nyota ya simba afu mwanaume ni nyota ya mbuzi asa hapo unategemea nini? Au wewe nyota yako ni ya asili ya moto afu mwenzio ni nyotq yenye asili ya maji sasa hapo mtafanya lolote kweli?
Mtu wako atakuja tu na hutatumia nguvu yoyote.
Sasa hivi na enjoy tu.
 
Mkuu,
Usitumie nguvu nyingi kutafuta ndoa. Uliza dada zako, walikata tamaa na sasa wanaishi, wengine wapo late 20s na wanajua ndoa haiji tu so wametulia.

I know it's hard hasa kama unaihitaji ndoa, ila kila kitu kwa wakati wake, ukofosi sana utaangukia put.
 
Mkuu,
Usitumie nguvu nyingi kutafuta ndoa. Uliza dada zako, walikata tamaa na sasa wanaishi, wengine wapo late 20s na wanajua ndoa haiji tu so wametulia.

I know it's hard hasa kama unaihitaji ndoa, ila kila kitu kwa wakati wake, ukofosi sana utaangukia put.
Asante mkuu kwa ushauri mzuri nitaufanyia kazi
 
Wakuu
Hii kitu naikataa. Tatizo letu ni kwamba hatuna subira. Mapenzi ya kweli hayafosiwi wala hayana haja ya kutongozana.

Kuna kitu kinaitwa love at first sight ambachi huja kwa wale wenye subira tu. Nashukuru Mungu nime experience tokea niko teenager.
Na sio kwamba sijawahi pata mateso kwenye mapenzi, No ila huko nilikopata tabu asilimia kubwa ni yale niliyotongoza.
Nashauri pia tusome kuhusu makundi ya nyota.Kwanza ujijue wewe ni kundi lioi na lina silika ipi na uijue ya huyo mwenzako hapo mtaendana sana. So unakuta mwanamke ni nyota ya simba afu mwanaume ni nyota ya mbuzi asa hapo unategemea nini? Au wewe nyota yako ni ya asili ya moto afu mwenzio ni nyotq yenye asili ya maji sasa hapo mtafanya lolote kweli?
Mtu wako atakuja tu na hutatumia nguvu yoyote.
Sasa hivi na enjoy tu.
Ngoja nikae ninyooshe na miguu kabisa nikimsubiri huyo niliyeandaliwa na Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom