Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,550
- 44,321
Kama unampenda Poor Brain kama ulivyonitonya pm hakyanani umepoteza pakubwa kama upo chini ya miaka 35, ila ukiwa above 35 atakuzingatia.
Safi tu mkuu, vipi kwako?Mambo akini
Huyo ni mtoto wa dada mkubwa Binti wa zamani siwezi kumuwazia mawazo hayoKama unampenda Poor Brain kama ulivyonitonya pm hakyanani umepoteza pakubwa kama upo chini ya miaka 35, ila ukiwa above 35 atakuzingatia.
Hii pole ya nini tena jamani
Ushauri mbaya sana huu😀😀Uyo alikua anakupenda kabla ata hajashika iyo mimba,baada ya kupata iyo mimba ndo kaona atumie fulsa😂😂
Anyway we ichape tu ilimradi mwenyew kalizia na ichape tena kisawasawa😂😂
Acha tu tunahitaji reforms hadi huku kwenye mapenziKila kona ni vilio vya mapenzi Mara nimeachwa,mke amenisaliti,mme amenisaliti,nampenda hanipendi, unampenda anakudanganya anakupenda kumbe ana anacho target ee.
Oooh! Kumbe bado kijana mdogo, njoo nikufundishe basi 😅😅actually i'm in early 19 na sijawahi kuwa member wa huo ulimwengu!!
Kwani tupo vitani jamani, hayo mambo ya kufanya kama mmepakiana mkongo mimi ndiyo siyapendi na siyaweziKumbe unachagua? Kama anakulomba kuliko wapaka mikongo akiwa yupo full natural uromantic unakusaidia nn Kwenye maisha ya kawaida
Poor Brain kama hawa si ndiyo unaowalaga?Iko vizurii mkuu Na liko na pesaa hataree mazeee🔥🔥😁tunaenjoy huku mambelee
Vijana wengi huko bongo wko magetoni wananyonga mazee
View attachment 3479162View attachment 3479165
🥲ndiyo maana kumbeNewton’s Third Law of Motion states:
- wewe unaapply force kwenda kwa mtu ambaye hakuna equal “reaction” (reciprocation).
- Kwenye physics tunasema forces isipobalance utakiona cha mtema kuni lazima maji uite mma kama sio Leo basi ipo siku yaja lazima kikukute kitu
Japo ni mwanangu ila najua mkamwana atakayempenda huyu kijana, kazi anayo 🤣🤣Huyo ni mtoto wa dada mkubwa Binti wa zamani siwezi kumuwazia mawazo hayo
Kijana ushasoma tayari? Zile point zangu vipi zilikusaidia?good for me, bado sijawa member wa huo ulimwengu!
Aoe lishangazi ndiyo watawezana asitese mabinti wa watu😅😅Japo ni mwanangu ila najua mkamwana atakayempenda huyu kijana, kazi anayo 🤣🤣
Sasa yeye si anapenda kuzichapa zenye mimba😂Ushauri mbaya sana huu😀😀
Hapo kwenye kuichapa alhamdullilah naichapa kisawa sawa kiasi ambacho hata yeye anajiulizaga ""huyu bwana hajui kama nina mtoto au"""Uyo alikua anakupenda kabla ata hajashika iyo mimba,baada ya kupata iyo mimba ndo kaona atumie fulsa😂😂
Anyway we ichape tu ilimradi mwenyew kalizia na ichape tena kisawasawa😂😂
Vishu vishu naona kidogo file lako lisharudi ..Kama unampenda Poor Brain kama ulivyonitonya pm hakyanani umepoteza pakubwa kama upo chini ya miaka 35, ila ukiwa above 35 atakuzingatia.
NimekumissSafi tu mkuu, vipi kwako?
Mimi mtoto ndio ila ukinipa hutotamani tena kuacha hako kamchezo na utakuja kusema mi ni mtu mzima mtoto..Huyo ni mtoto wa dada mkubwa Binti wa zamani siwezi kumuwazia mawazo hayo
Acha uchawi wako huo..Ushauri mbaya sana huu😀😀
Hao ndo wangu mie hao tena bahati nzuri akiwa na rasta kama hizo an nikizishika hizo aaaaah mbona kila kitu atasema na ushuhuda atatoa...Poor Brain kama hawa si ndiyo unaowalaga?