Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Hivi umewahi jiuliza kuwa ni mambo gani ambayo wanawake huzungumzia pale tu wanapotengeneza vikundi kwa ajili ya kupiga soga? Iwe ni katika mazingira ya kazi, mazingira ya nyumbani hasa hasa majirani kwenye nyumba za kupanga, vyuoni n.k
Hawa viumbe hawana cha maana wanachokizungumza hapo. Haijalishi wana kiwango kipi cha elimu, mume wa namna ipi, labda ni matajiri n.k
Mambo ambayo wanawake huzungumzia wakati wa soga:
1. Vikoba, mikopo na kausha damu. Mazungumzo yao hulenga sana katika kum-beza mwenzao ambaye alikopa deni akashindwa kulipa, ambaye amekaushwa damu kwa kusombewa mali zake alizokuwa nazo. Hapo huangua vicheko vya kila rangi. Ukiwa mbali unaeza dhani wanajadili namna ya kuwatengea waume wao maji ya kuoga pindi wanapotoka kazini, kumbe hakuna la maana
2. Mapenzi. Kikubwa wanachokijadili hapa ni namna ambavyo wamefanikisha kuwaendesha waume ama wapenzi wao. Hapa kila mmoja utamsikia ngozi akiivutia kwake. Hapo hakuna hata mmoja atakaekubali kuwa mnyonge kwa mwenzie. utasikia tu, "Nikikohoa tu, chipsi yai hii hapa, hata kama iwe usiku wa manane. Akinisumbua hata vibao namnasa". Ikifikia hatua hii, ndipo kila mmoja huanza kumwaga siri za mpenzi ama mume wake ndani. Kingine wanachokizungumza ni namna ya kumuandaa mwanaume wakati wa tendo ilihali hakuna hata mmoja anayemuandaa mume ama mpenzi wake. Hawa wadudu ni watu wa theory katika mazungumzo
hivyo tunaiomba serikali ya CCM ituelekeze namna ya kuishi na hivi viumbe hivi kwa akili
Hawa viumbe hawana cha maana wanachokizungumza hapo. Haijalishi wana kiwango kipi cha elimu, mume wa namna ipi, labda ni matajiri n.k
Mambo ambayo wanawake huzungumzia wakati wa soga:
1. Vikoba, mikopo na kausha damu. Mazungumzo yao hulenga sana katika kum-beza mwenzao ambaye alikopa deni akashindwa kulipa, ambaye amekaushwa damu kwa kusombewa mali zake alizokuwa nazo. Hapo huangua vicheko vya kila rangi. Ukiwa mbali unaeza dhani wanajadili namna ya kuwatengea waume wao maji ya kuoga pindi wanapotoka kazini, kumbe hakuna la maana
2. Mapenzi. Kikubwa wanachokijadili hapa ni namna ambavyo wamefanikisha kuwaendesha waume ama wapenzi wao. Hapa kila mmoja utamsikia ngozi akiivutia kwake. Hapo hakuna hata mmoja atakaekubali kuwa mnyonge kwa mwenzie. utasikia tu, "Nikikohoa tu, chipsi yai hii hapa, hata kama iwe usiku wa manane. Akinisumbua hata vibao namnasa". Ikifikia hatua hii, ndipo kila mmoja huanza kumwaga siri za mpenzi ama mume wake ndani. Kingine wanachokizungumza ni namna ya kumuandaa mwanaume wakati wa tendo ilihali hakuna hata mmoja anayemuandaa mume ama mpenzi wake. Hawa wadudu ni watu wa theory katika mazungumzo
hivyo tunaiomba serikali ya CCM ituelekeze namna ya kuishi na hivi viumbe hivi kwa akili