marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Kwanza kitendo cha kuwaachia nyinyi wanawake kumiliki uchumi...ni huduma tosha..maana ile senti unayopata wewe kwenye kazi yako ilitakiwa aipate mwanaume wako..ndipo akupe wewe....wewe ukasema na mm nataka nipewe changu mapema kwa kufanya kazi...sasa sent yako ushapewa..unataka tena wkt mwanaume wako keshapungukiwa...
Unatakiwa kile chako mkichange na cha mwenzako..mjue cha kufanya....
Yaani mmeweshwa lkn bado mnang'ang'ana kuhudumiwa?? Neno Hilo likae mbali kabisa na fikra zenu...litokee kama dharura tu...ngonjera hizi...ziimbeni..mfumo dume ukirudi tena.
Cku moja boom limeingia ananiomba akabsti nyonyo zake!!!!!
nilcho mfanyia cio kzr kutype kwa uma asee
:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]:-]
