Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

pesa omba ila unazifanyia nini ndio shida?? Mtu anaomba hela akaongeze makalio au NIDO??? si maajabu haya. Mwingine akaweke makope yale ya makatani hadi anakuwa ananitisha, sasa natoa hela ya nini hapo??/
Waambie, hatupendagi ujinga, sis
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar

Hata huwa siwaelewi nyie akina dada kwa dhana ya kwamba mwanaume akiangalia mwanamke tayari ashamtamani. Mnaitoa wapi hiyo? Wakati mwingine ni fahari ya macho tu.

La kushangaza hata nyie mkitoka huwa mnajikwatua kipita kiasi. Jiulize huwa mnaangaliwa na akina nani? Tafakari kisha chukua hatua.
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar

Ulimuonea macho hayana pazia
 
1. Mchoyo

2. Mwenye ghubu

3. Mwenye dharau

4. Much know na asiyeshaurika

5. Ngumi mkononi

6. Control freak

7. Asiyejiamini

8. Malaya na mzinzi>>> chovyachovya

10. Mbahili

11. Msema hovyo

12. Asokuwa na staha

13. Misifa.com

14. Mvivu

15. Mchafu

16. Mario

17. Kutokuwa mtafutaji

18. Kutokuwa na msimamo wa maisha.....ikiwemo asojua nini anataka

19. Asojitambua


Nitarudi na mengine
Mhhhh kuna mwanaume/binadamu asiyekuwa na hata kimoja hapo kweli??
 
4.6 billion kwa 2.6 billion alafu bado mnaleta nyodo za multiple choice hapa",.. haya subiri Maombi hospitalini tyu",..

ni kizazi cha 50-50
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Mungu wangu itakuwa ngumu endapo utanipiga kibao eti nisitizame watu wanaopita kando yangu ni haki kumuangalia mtu ila sio uangaliaji wa tamaa na kuonesha umevutiwa, kwa kweli mm nisingekubali hilo suala kama huyo mwanaume wako alikubali baada ya kukaa kimya basi ni mpuuzi,
 
Back
Top Bottom