leprincess
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 282
- 456
Ndo jibu lakeKwa hiyo wanawake hawana tabia ya kurusha mizinga..isipokuwa mwanaume mwenyewe ndio amesababisha??
Ndo jibu lakeKwa hiyo wanawake hawana tabia ya kurusha mizinga..isipokuwa mwanaume mwenyewe ndio amesababisha??
Kuna wanawake wengine hawafanyi kazi..wanategemea mwanaume kwa kila kitu..hao nao vp??Ndo jibu lake
Kwann wasifanye kazi? Jibu linakuja palepale wanaume wametengeneza hayo mazingiraKuna wanawake wengine hawafanyi kazi..wanategemea mwanaume kwa kila kitu..hao nao vp??
Hahahah...wewe lawama zote kwa mwanaume.Kwann wasifanye kazi? Jibu linakuja palepale wanaume wametengeneza hayo mazingira
Kwasabab ni majibuHahahah...wewe lawama zote kwa mwanaume.
Nitakutengenezea vp mazingira unichune nipe mwanga hapo??Kwasabab ni majibu
Kwasabab ni majipu
Baki njia kuuNitakutengenezea vp mazingira unichune nipe mwanga hapo??
Sawa bwana leprincessBaki njia kuu
Mwanaume anataka tigo tu.................period.Hehehehehe ...tunasema tena ngoja nikaangalie kule umesema nn
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
Vipi alijaaliwa nanihii?Mi sipendi mwanaume mwenye maneno mengi matendo sifuri.
Umeuwaaa,ati mkao wa choo cha shimo hahahaaaa yaani mpaka mlio wa tumbwiiiiii unasikika kwa jirani.Mtaishia kusema huku tu, ila mkifika kitandani ukipigwa mkao wa choo cha shimo chaliiiii, nyieeee ongeeeni tu[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mautundu ya mautamu,we mtoto unaniuwa jamani.Mhuni kwamaana ya kutotulia na mtu wake... Sio utundu wa chumbani
He hee unajiuwa mwenyewe banaMautundu ya mautamu,we mtoto unaniuwa jamani.
Hatuna ubinafsi bhana,tatizo lenu tukianza kuwatongoza mnaleta sinema za kihindi ati nyimbo na maua na tararira kibao,ya nini yote hayo?,leteni mizigo tupige tufurahie maisha,baadaye ndio mlete nyimbo za kihindi na mahabuba zenu,hapo mtaeleweka na tutawatunza kwa mavituz ya bei mbaya au vipi?,lakini mmekalia kubania magoma moto huku mkiendeleza nyimbo,achia mzigo uone unavyopendwa.Wanaume wa JF wabinafsi sana inabid nawao wajue kua hawapo kamili hata wao wanatukera pia
Mpe za uso huyo,inaonekana ametendwa sana,sasa imepauka .Peleka ujinga wako huko nan anakutaka
Na kweli umesema ya rohoni leo,maana una bunyo au ze nyambaz la kufa mtu,inatakiwa shughuli ya ziada kupasua huo mlima.Mimi nakerwa na mwanaume asiyenipa mgegedo wa kweli
Agynasa hujambo?Mwanaume bahili, mwongo, maneno mengi na mhuni