Haya ndio mafanikio ya CHADEMA toka 1992. What a shame!?

Maendeleo hayatokei over night wewe acha kuwaza kwa kutumia akili zako za darasa la tatu. Unadhani Tanzania ilipaswa kuwa tajiri baada tu ya kupata uhuru?! Au miaka 20 baada tu ya uhuru?! Mambo hayapo hivyo. Nchi inaendelea ila muda nao una nafasi yake vile vile. Hivyo kama CDM wakitupunguzia fujo na kuifanya serikali isitenge fungu kubwa la pesa kwenye wizara ya mambo ya ndani, definately nchi itasonga mbele kwa kasi zaidi.

Tangu mwaka 1961 mpaka mwaka 1992 Chadema haikuwepo...
Kulikuwa na maendeleo gani..??

Kwa taarifa yako, maendeleo ya nchi hayahitaji miaka 50....
Kuna nchi zimetokomeza umaskini kwa muda mfupi sana, na nchi hizo wala hazina utajiri kama wa Tanzania.
Nikupe data uzione...???
 
Mpwa wangu una ubongo mdogo sana bhana try to be serious unapojadili mambo ya msingi, kumbuka athari ya maneno yako ni kubwa sana kwa jamii, tuwaoneee hruma Vizazi vijavyo please
Wewe jamaa upo bongo kweli?! Maana hakuna asiyejua kuwa goal kubwa ya CDM ni kuivuruga amani ya nchi na kukwamisha maendeleo. Kama kuna goals zingine basi ni kama cover tu ya hiyo main goal.
 
WanaJF,

Tokea CDM ianzishwe mnamo mwaka 1992, sasa yapata miaka ipatayo 21.

Lakini katika kipindi chote hiki cha uwepo wa chama hicho katika uwanja wa siasa za ushindani, bado tija ya CDM haijaonekana kabisa, zaidi zaidi ni mambo ya ajabu ajabu tu ndio ambayo yamekuwa yakifanywa na chama hicho ambayo kimsingi mambo hayo ndio huitwa MAFANIKIO YA CDM. Baadhi ya MAFANIKIO ya CDM tangu kuanzishwa kwake ni:

i) Kuchochea mgawanyiko wa kikabila na kikanda nchini. Hapa wamefanikiwa ingawa sio kwa kiasi kikubwa kutokana na kudhibitiwa na serikali ya CCM.

ii) Kushushwa kwa hadhi kwa jiji la Arusha na kupelekea kupungua kwa idadi kubwa ya watalii na kushuka kwa mapato ya jiji hilo. Hapa pameratibiwa na Lema.

iii) Kuhamasisha vijana watumie mihadarati kama vile bangi, gomba, milungi, kuberi na viroba. Hapa wamefanikiwa sana hasa kwa vijana wa Arusha na Mbeya.

iv) Kuwekeza kwenye matusi na fujo. Hapa CDM imefanikiwa mno hasa ukizingatia chama kimemkabidhi hii sekta mtu aina ya Sugu (mb) ili kuweza kuiratibu. Katika historia ya nchi yetu, ni kwa mara ya kwanza tumeshuhudia ngumi kupigwa bungeni pamoja na kutukanwa kwa viongozi wa kitaifa.

v) Kutoa kafara Watanzania kwa kisingizio cha haki ya maandamano na mikusanyiko. Wote tunajua kuwa Mbowe ni mfanyabiashara na miaka ya hivi karibuni baada ya kumwaga damu ya kutosha ya Watanzania biashara yake imeonekana kustawi. Unaweza ku-connect dots hapo.

Haya ni baadhi tu ya mafanikio ya CDM ila ni imani yangu yapo mengine mengi ambayo yamefanywa na chama hicho cha kifamilia. Hivyo kuwa huru kujazia jazia mafanikio unayo yafahamu ya hiki chama

Umeamua utoke kwa stail hii baada ya kuwa suspended na lumumba project? kila la kheri!
 
Pamoja na kwamba kuna malipo ya buku saba lakini nisingejitoa ufahamu na kuandika vituko humu jukwaani, kwa akili za Lumumba mwenyewe kaona hapo kaandika kweli na siku inapita nyumbani mama anabandika sufuria maana anajua mheshimiwa kaingiza buku saba...........CDM kina miaka 21 hakijashika dola lkn shuhuli yake inaonekana, CCM muna miaka mingapi madarakani na muna nini cha kuwashawishi WATANZANIA waendelee kuwaamini, hakuna zaidi ya uongo na unafiki ili muendelee kuifilisi Nchi,viwanda vingapi mumeua, mikataba mingapi ya kishenzi mumeingia,mahospitali katika karne hii wenzetu wanafikiria mambo makubwa makubwa Tanzania bado mama zetu wanalala chini wakisubiri kujifungua, eti vitanda hakuna,mke wangu anakwenda hospitalini kujifungua naambiwa niende na vifaa vyangu maana hospitalini hakuna, walimu mpaka kesho maisha yao ni kama wamelaaniwa vile maana hayo maisha bora yanayoimbwa na CCM ni ndoto......usinichefue kijana.......tangu nimeanza kusikia kuwa shida ya umeme Tanzania itakuwa historia mpk leo ni aibu maana hivi ninavyoandika hapa hii laptop inazima muda si mrefu umeme ulikatika tangu sa 10 alfajiri, leo anakuja mshamba fulani anataka kujua mafanikio ya CDM......tuambie ya CCM kwanza.
 
Sio Mawaziri Mizigo ndio Janga la Taifa!? Ukosefu wa ajira kwa Vijana ,chanzo ni CDM?Vigogo wanaozeekea Madarakani sio tatizo la ajira kwa Wasomi Vijana? Kusoma hujui ,hata Picha huioni?

Ukikosa ajira Tanzania amma ni mvivu wa kutupwa au hauna akili vizuri. Wanakuja mpaka wachina kufata ajira zilizojaa, wewe umekalia hakuna ajira. Unanchekesha!
 
WanaJF,

Tokea CDM ianzishwe mnamo mwaka 1992, sasa yapata miaka ipatayo 21.

Lakini katika kipindi chote hiki cha uwepo wa chama hicho katika uwanja wa siasa za ushindani, bado tija ya CDM haijaonekana kabisa, zaidi zaidi ni mambo ya ajabu ajabu tu ndio ambayo yamekuwa yakifanywa na chama hicho ambayo kimsingi mambo hayo ndio huitwa MAFANIKIO YA CDM. Baadhi ya MAFANIKIO ya CDM tangu kuanzishwa kwake ni:

i) Kuchochea mgawanyiko wa kikabila na kikanda nchini. Hapa wamefanikiwa ingawa sio kwa kiasi kikubwa kutokana na kudhibitiwa na serikali ya CCM.

ii) Kushushwa kwa hadhi kwa jiji la Arusha na kupelekea kupungua kwa idadi kubwa ya watalii na kushuka kwa mapato ya jiji hilo. Hapa pameratibiwa na Lema.

iii) Kuhamasisha vijana watumie mihadarati kama vile bangi, gomba, milungi, kuberi na viroba. Hapa wamefanikiwa sana hasa kwa vijana wa Arusha na Mbeya.

iv) Kuwekeza kwenye matusi na fujo. Hapa CDM imefanikiwa mno hasa ukizingatia chama kimemkabidhi hii sekta mtu aina ya Sugu (mb) ili kuweza kuiratibu. Katika historia ya nchi yetu, ni kwa mara ya kwanza tumeshuhudia ngumi kupigwa bungeni pamoja na kutukanwa kwa viongozi wa kitaifa.

v) Kutoa kafara Watanzania kwa kisingizio cha haki ya maandamano na mikusanyiko. Wote tunajua kuwa Mbowe ni mfanyabiashara na miaka ya hivi karibuni baada ya kumwaga damu ya kutosha ya Watanzania biashara yake imeonekana kustawi. Unaweza ku-connect dots hapo.

Haya ni baadhi tu ya mafanikio ya CDM ila ni imani yangu yapo mengine mengi ambayo yamefanywa na chama hicho cha kifamilia. Hivyo kuwa huru kujazia jazia mafanikio unayo yafahamu ya hiki chama

Hayatuhusu
 
baada ya jana KULIPWA YALE MAPUNJO ULIYOKUWA UNAIDAI LUMUMBA , naona sasa umerudi tena ulingoni , karibu tena mjomba .
 
Ukikosa ajira Tanzania amma ni mvivu wa kutupwa au hauna akili vizuri. Wanakuja mpaka wachina kufata ajira zilizojaa, wewe umekalia hakuna ajira. Unanchekesha!

faiza,

Nilishasema huko nyuma na sasa narudia tena kusema, ukiwa maskini kwenye nchi kama Tanzania, ni kwamba umejitakia mwenyewe. Haiwezekani uwe maskini ndani ya nchi iliyosheheni fursa za kila aina halafu uilalamikie serikali!!! Ni kitu cha kushangaza sana.
 
Last edited by a moderator:
na haya ni baadhi ya mafanikio ya ccm;

1. Kuua viwanda na kuwafanya vijana wakose ajira kwa kiwango kikubwa.
2. Kuongeza kiwango cha wanafunzi kufeli na kuanzisha division five,
3. Kuhimiza ujangili na kupunguza idadi ya tembo kwa kumuwezesha katibu wa chama kuwa na kampuni inayosafirisha meno ya tembo nje ya nchi,
4. Kuwapiga mabomu wazee wa afrika mashariki wanapodai mafao yao,
5. Kuwalinda mafisadi na kuendekeza siasa uchwara kama alivyonukuliwa rostam aziz mwaka 2011,
6. Chama kushamiri kwa biashara ya madawa ya kulevya,
7. Kushindwa kuyafikia malengo ya millenia mfano kupunguza vifo vya mama na watoto,
8. Kuingilia uhuru wa vyombo vya habari na kuwaua waandishi,
9. Kushusha hadhi ya tanzania katika jumuiya ya afrika mashariki
10. Chama chetu (ccm) kimefanikiwa katika kusimamia biashara ya kimataifa kwa kubadilishana vyandarua na dhahabu...ccm hoyeee!

mafankio mengine ya ccm ni haya hapa
 

Attachments

  • 375116_375793459198301_1094031851_n.jpg
    375116_375793459198301_1094031851_n.jpg
    13.7 KB · Views: 21
  • 603975_341668312605541_1560712432_n.jpg
    603975_341668312605541_1560712432_n.jpg
    29.5 KB · Views: 22
  • 529058_193830867430380_1974629657_n.jpg
    529058_193830867430380_1974629657_n.jpg
    29.5 KB · Views: 19
wanajf,

tokea cdm ianzishwe mnamo mwaka 1992, sasa yapata miaka ipatayo 21.

Lakini katika kipindi chote hiki cha uwepo wa chama hicho katika uwanja wa siasa za ushindani, bado tija ya cdm haijaonekana kabisa, zaidi zaidi ni mambo ya ajabu ajabu tu ndio ambayo yamekuwa yakifanywa na chama hicho ambayo kimsingi mambo hayo ndio huitwa mafanikio ya cdm. Baadhi ya mafanikio ya cdm tangu kuanzishwa kwake ni:

I) kuchochea mgawanyiko wa kikabila na kikanda nchini. Hapa wamefanikiwa ingawa sio kwa kiasi kikubwa kutokana na kudhibitiwa na serikali ya ccm.

Ii) kushushwa kwa hadhi kwa jiji la arusha na kupelekea kupungua kwa idadi kubwa ya watalii na kushuka kwa mapato ya jiji hilo. Hapa pameratibiwa na lema.

Iii) kuhamasisha vijana watumie mihadarati kama vile bangi, gomba, milungi, kuberi na viroba. Hapa wamefanikiwa sana hasa kwa vijana wa arusha na mbeya.

Iv) kuwekeza kwenye matusi na fujo. Hapa cdm imefanikiwa mno hasa ukizingatia chama kimemkabidhi hii sekta mtu aina ya sugu (mb) ili kuweza kuiratibu. Katika historia ya nchi yetu, ni kwa mara ya kwanza tumeshuhudia ngumi kupigwa bungeni pamoja na kutukanwa kwa viongozi wa kitaifa.

V) kutoa kafara watanzania kwa kisingizio cha haki ya maandamano na mikusanyiko. Wote tunajua kuwa mbowe ni mfanyabiashara na miaka ya hivi karibuni baada ya kumwaga damu ya kutosha ya watanzania biashara yake imeonekana kustawi. Unaweza ku-connect dots hapo.

Haya ni baadhi tu ya mafanikio ya cdm ila ni imani yangu yapo mengine mengi ambayo yamefanywa na chama hicho cha kifamilia. Hivyo kuwa huru kujazia jazia mafanikio unayo yafahamu ya hiki chama


mafanikio ya ccm ni haya hapa sweet honey,!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Attachments

  • SHULE ZA KATA.jpg
    SHULE ZA KATA.jpg
    25.9 KB · Views: 22
  • ward secondary.jpg
    ward secondary.jpg
    15.2 KB · Views: 23
WanaJF,

Tokea CDM ianzishwe mnamo mwaka 1992, sasa yapata miaka ipatayo 21.

Lakini katika kipindi chote hiki cha uwepo wa chama hicho katika uwanja wa siasa za ushindani, bado tija ya CDM haijaonekana kabisa, zaidi zaidi ni mambo ya ajabu ajabu tu ndio ambayo yamekuwa yakifanywa na chama hicho ambayo kimsingi mambo hayo ndio huitwa MAFANIKIO YA CDM. Baadhi ya MAFANIKIO ya CDM tangu kuanzishwa kwake ni:

i) Kuchochea mgawanyiko wa kikabila na kikanda nchini. Hapa wamefanikiwa ingawa sio kwa kiasi kikubwa kutokana na kudhibitiwa na serikali ya CCM.

ii) Kushushwa kwa hadhi kwa jiji la Arusha na kupelekea kupungua kwa idadi kubwa ya watalii na kushuka kwa mapato ya jiji hilo. Hapa pameratibiwa na Lema.

iii) Kuhamasisha vijana watumie mihadarati kama vile bangi, gomba, milungi, kuberi na viroba. Hapa wamefanikiwa sana hasa kwa vijana wa Arusha na Mbeya.

iv) Kuwekeza kwenye matusi na fujo. Hapa CDM imefanikiwa mno hasa ukizingatia chama kimemkabidhi hii sekta mtu aina ya Sugu (mb) ili kuweza kuiratibu. Katika historia ya nchi yetu, ni kwa mara ya kwanza tumeshuhudia ngumi kupigwa bungeni pamoja na kutukanwa kwa viongozi wa kitaifa.

v) Kutoa kafara Watanzania kwa kisingizio cha haki ya maandamano na mikusanyiko. Wote tunajua kuwa Mbowe ni mfanyabiashara na miaka ya hivi karibuni baada ya kumwaga damu ya kutosha ya Watanzania biashara yake imeonekana kustawi. Unaweza ku-connect dots hapo.

Haya ni baadhi tu ya mafanikio ya CDM ila ni imani yangu yapo mengine mengi ambayo yamefanywa na chama hicho cha kifamilia. Hivyo kuwa huru kujazia jazia mafanikio unayo yafahamu ya hiki chama

vi) Kuhimiza unywaji gongo.
Vii) Kutimua wanaohoji ruzuku na michango.
Viii)Kusimamia swala la kumiliki vimada na mahawara.
 
faiza,

nilishasema huko nyuma na sasa narudia tena kusema, ukiwa maskini kwenye nchi kama tanzania, ni kwamba umejitakia mwenyewe. Haiwezekani uwe maskini ndani ya nchi iliyosheheni fursa za kila aina halafu uilalamikie serikali!!! Ni kitu cha kushangaza sana.



mafanikio haya ndio tumeletewa na serikali ya kihuni.
 
Back
Top Bottom