Una kijini blockKuna mtu kaniblock mitandao yote,na sijamuuliza wa kumtxt kokote kule mwezi wa 5 sasa,juzi kati nikagundua kuna sehemu ananifuatilia kupitia account za mama yake ๐,na mimi nikatia block mama yake ๐
Compact ๐๐ soma tu hii comment kisha ukwende zako.Kama hujambloku, hujampenda bado...
Mapenzi ni utoto
Unambloku ili usimpoteze hisia zikitulia unamblokua na unamwambia nilikubloku kama umekasirika na wewe nibloku halafu zikiisha niblokue tunanilii.....
Nanilii... turine.....๐.
Compact ๐๐ soma tu hii comment kisha ukwende zako.
Hongereni sana ๐ kwa ulivyomuita nina imani amesikia...Ngoja nimuite tunaeblokiana aje tublokuane kisha tukarine asali ya unyamwezini...๐๐.
Weeee babuuuuuuu
Tunaetiana bloku njoooowooooo
Ukuje nikupunguzie kitofali kimevimba sana usijeukasumbua watu ofisini kwenu kesho....๐ .
Hongereni sana ๐ kwa ulivyomuita niba imani amesikia...
Nampenda ila sijawahi mpiga tofali ๐ akinikasirisha nafuta namba na mapicha picha yote. Tukiwa sawa naanza kuomba picha upya tu.
Chilita mjanja wewe ๐Una kijini block
Nini mbaya?Chilita mjanja wewe ๐
Swahiba hutaki Maskhara eti. ๐คฃ๐คฃKuna mtu kaniblock mitandao yote,na sijamuuliza wa kumtxt kokote kule mwezi wa 5 sasa,juzi kati nikagundua kuna sehemu ananifuatilia kupitia account za mama yake ๐,na mimi nikatia block mama yake ๐
๐๐Swahiba hutaki Maskhara eti. ๐คฃ๐คฃ
Mbona umetujuisha wote kwenye ujinga wako bila utafiti mwanangu. Kama uko blocked wewe si wote na acheni jazba na kujiaibisha kirahisi hivi. Ficheni ujinga wenu na kuonyesha ujuzi wenu. Kumbaff.Haya Mambo Kublock Wapenzi wenu ni Ushamba Unakuta Mna Kaugomvi Kadogo tuu ila Mnalimana block kila sehemu then baada ya mda mnapatana then Mnajiunblock huo ni Ushamba na Upumbavu, utoto na uzwazwa.
....Mambo ya Kublock ni ya Kishamba na ya Kipumbavu sana.
Pole Mpwa, ungeoa tuHaya Mambo Kublock Wapenzi wenu ni Ushamba Unakuta Mna Kaugomvi Kadogo tuu ila Mnalimana block kila sehemu then baada ya mda mnapatana then Mnajiunblock huo ni Ushamba na Upumbavu, utoto na uzwazwa.
....Mambo ya Kublock ni ya Kishamba na ya Kipumbavu sana.