De Capri Don
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 481
- 949
Sipo Arusha ila endelea kusaidia fundi upate skills , jaribu different trades ujenzi, mechanics , organic farming n.k sababu huna skills yoyetesaidia fundi nimefanya sana mkuu kama upo Arusha nishtue
sidhani mkuuKosa la kwanza linalokurudisha nyuma ni ile kudhani kuwa kuwa na GPA ya 4 basi kila kitu kitanyooka
haaahaha..ukiona giza linazidi basi pambazuko li karibu...polenishajaribu kutoka nnje ya mkoa kujitafuta ila nilikiona cha mtema kuni
Kwer we mbugira una mda gani tangu umemaliza chuoWahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
acha maneno ya kejeli mkuuKwer we mbugira una mda gani tangu umemaliza chuo
Kwer mtu wangu ukute ata Mwaka bado haujakata wakati watu tumekaa zaidi ya miaka mitatu mtaani na hatujawai lalamika kazi ya kwanza ni ww kijana jitafute usikimbirie kulaumu viongozi wa sector husika kwamba hupati kazi chiefacha maneno ya kejeli mkuu
Huo ni mtazamo wako.unaona sifa kusema ulikimbia shule..
Sikupewa hiyo hela.Hukutaka kula pesa ya serikali
Shukuruni Mungu kwa kila jambo, unayokutana nayo ni kwa mapenzi ya MunguWahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
wee! unawafundisha nini wadogo zako sasa...wakimbie tu!Huo ni mtazamo wako.Sisi wengine kipaumbele chetu hakipo huko.
Wafuate wanachoaminiwee! unawafundisha nini wadogo zako sasa...wakimbie tu!
Watu mliosoma bwana,unadhani huyo anazidiwa nini na ambae amesoma sana na ameajiriwa mahali analipwa kwa kujilamba kwa boss na samahani samahani nyingi boss akinuna?shame... shame..
Hebu nitumie detailed cv niangalie kama naweza kuweka mahali kama ukiwa interested. ThanksWahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Chuo gani kijana.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Kukata tamaa ni dhambi, alafu maisha ni foleni zamu yako ipo inakuja.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Ila kama chuo cha maana utatoboa tu. Ungekuwa na hela kidogo ungeanza CPA.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
CPA somo moja 150k kakaIla kama chuo cha maana utatoboa tu. Ungekuwa na hela kidogo ungeanza CPA.
Isje kuwa wewe hujasoma unakuja kukatisha tamaa wasomi......nyie ngumbaro tunawajua mnavyoponda vijana kisa hawajapata ajira.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa