Haya mafuta yana kazi gani?

Haya mafuta yana kazi gani?

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
486
Reaction score
2,078
Sasa akatoa haya maafuta sijui lotion akayaweka chini ya mto.

Mimi sijui yana kazi gani.nimehisi labda ni limbwata anataka kuniwekea
Kwa anaejua ni nini hiki na yana kazi gani anisaidie.

20250906_074554.jpg
 
Kuna mwanamke nilikua namgonga hapa lodge singida.
Sasa akatoa haya maafuta sijui lotion akayaweka chini ya mto.
Mimi sijui yana kazi gani.nimehisi labda ni limbwata anataka kuniwekea kwenye kikojoleo changu.
Kwa anaejua ni nini hiki na yana kazi gani anisaidie.

Wakikujib nakuomba unimention.
 
Kuna mwanamke nilikua namgonga hapa lodge singida.
Sasa akatoa haya maafuta sijui lotion akayaweka chini ya mto.
Mimi sijui yana kazi gani.nimehisi labda ni limbwata anataka kuniwekea kwenye kikojoleo changu.
Kwa anaejua ni nini hiki na yana kazi gani anisaidie.
Watu wa kanda ya ziwa punguzeni ushamba.
 
Jinsia yako ? Mwenye hayo mafuta nia yake anataka umeremete
 
Sasa akatoa haya maafuta sijui lotion akayaweka chini ya mto.

Mimi sijui yana kazi gani.nimehisi labda ni limbwata anataka kuniwekea
Kwa anaejua ni nini hiki na yana kazi gani anisaidie.

View attachment 3466974
Hayo yanatumika sehemu nyingi kwa mafano kama mto msimbazi huko kama kumepauka hivi ua mbele sehemu za simu 2000 nako hivo hivo
 
Back
Top Bottom