CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
me nadhani anapata uvivu wa kutafta avatar nyingne. cha kufanya tumtaftie avatar nyingi tumletee afu achague. akikataa tunagoma kuingia jf. siku hizi mgomo ndo mpango mzima!
umevunja kanuni na utaratibu nani kakwambia umlete huyu mama kijacho huku wakati alikuwa na mapumziko
Hahahaaaaaaaaaaaaaaa...!
Kinyonga.
hasa ukiona notice ya ban ndo utakapochoka..
mmh! umenidanganya. kinyonga cheusi?. Mia
wewe unapenda wa rangi gani, nyeusi au nyeupe? miaHujui ka ni tajiri wa rangi? Hahahaaaa.....we ulimona wa kijani.
mmh! umenidanganya. kinyonga cheusi?. Mia
wewe unapenda wa rangi gani, nyeusi au nyeupe? mia
ndio nini na hiyo? miaMbombo Jilipo!