Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Kwakweli nimechoka na siasa za bongo.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.
Miezi michache iliyopita Zitto Kabwe alikuwa anashambuliwa Kila Kona kwa sababu ya ruzuku. Wakamwita msaliti na matusi chungu nzima. Leo Chadema chini ya Freeman Mbowe wamechukua ruzuku na wamekausha kimyaaa. Unafiki!
Miezi michache iliyopita walimshambulia Zitto kila kona kwa kukubali kufanya kazi ya pamoja katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakamwita mnafiki akayaoga matusi mazito kabisa. Leo mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa BAWACHA ni Rais Samia. Duu, huu ndio upinzani wetu.
Joe Biden wa democratic anakuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Republican. Haijawahi tokea ni Chadema tu ndio utayaona haya maajabu. Wanachukua pesa wanasahau na malengo makuu ya upinzani.
Hongera Zitto Kabwe sasa tumewajua wanafiki halisi wa mageuzi ya Tanzania.