Hawawaamini Madaktari wetu, wanataka ushirikiano na Balozi zetu!

Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
huelewi kwasababu hujajifunza ili uweze kuelewa,, kwasababu huamini kua watanzania wanaumia kwa utawala wa kibabe basi we endelea kuushangilia maana ipo siku na wewe utaguswa,, Mungu ni wa wote, leo kakusikiliza wewe umepata neema kesho atamsikiliza mwingine ila, usifurahie ukiona wanadamu wenzio wanaumia maana ni ndugu zako na kama ukikataa kua sio ndugu zako basi ipo siku utahitaji kutoka kwao ndipo utajifunza
 
Mimi binafsi sijali vyovyote sawa tu, nina matatizo yangu kibao kuweza kujali kama amekufa au la!
Na matatizo makubwa uliyonayo ni ya afya ya akili, pole na huruhusiwi kuchangia chochote kama unajijua huko sawa kimwili na kiakili.

ACHA nikae KIMYA...!
 
Jamani ni bora haya ma ccm yakakaa kimya yanazidi kuharibu. Kumbe na balozi ni za ccm?? Makubwaa basi mtugawie mikoa yetu nyie msiopenda upinzani mkae wenyewe na sie tujiendeleze wenyewe. Wachawi wakubwa
 
tuache kuuweka utu wetu rehani sababu ya mambo ya kisiasa!
sisi na binadamu na Watanzania kwanza...mengine yote yafuata baada ya hayo
 
Kuna mtu nilikuwa namuheshimu halafu nimemuona siti za mwanzoni kabisa anachangia upupu!!!!loh!!!
Aisee kumbe na wewe ni nyumbu??? Duh!!!! Siamini,ngoja nipite zangu mie
dada naona umeshindwa kuvumilia kukaa kimya
Inaelekea imewauma sana eeh. Mkanye scania sasa. Atatibiwa na atapona. Muaibike, muadhirike na mfedheheke muitafutayo nafsi yake...


*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Mkuu wamewaongezea posho au bado ileile buku 7? Waambieni sarafu imeporomoka
 
jamani tuwe tunafatilia vyombo vya habari,naamini mtoa uzi ungepata habari usingeandika ulichoandika

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Husiwe na ubongo ulioganda kuelewa.Siyo kuwa madaktari ndio hawahaminiki bali ni usalama wavmgonjwa atakapolazwa Muhimbili.Ikizingatiwa kuwa watawala hawampendi Lissu maisha yake huenda yangemaliziwa kitandani baada ya kulazwa na watu wale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?

Wewe mvaa kofia na tshirt za kijani.........haviwezi kukuacha salama.

Labda kwa kukusaidia.......mabalozi wanaiwakilisha Tanzania na siyo CCM. Mishahara yao ni kodi za wana ccm, wana Chadema, wana CUF nk (ingawa wavaa tshirt na kofia za Kijani Kama wewe..not sure kama mnalipa kodi) . Kwa Hiyo TL kuhudumiwa na ubalozi in haki yake.....
 
Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Kuna dalili kuu za kutojitambua katika hili, unaposema unatilia shaka usalama wa matibabu ya Tundu Lisu hapa nchini unaashiria kusahau (tena kwa haraka)kwamba Lisu alipatwa na jambo la dharura na kwamba seheamu ya muhimu kuliko zote katika matibabu yake ilikuwa na matibabu ya dharura ambayo aliyapata kwa UFANISI MKUBWA katika hospitali ya hapa nchini na kwamba kama kungekuwa na mapungufu ya usalama au mapungufu ya welewedi wa madaktari wetu ni wazi Lisu asingeweza kufika hata airport achilia mbali huko Agakhan hospital.
Najaribu kujiuliza kwamba ikitokea wabunge wengine wakipatwa na dharura ya aina ile je utaratibu utaendelea kuwa huo wa kutoamini madaktari wetu na hali ya usalama nchini? je sisi wananchi wa kawaida tukipatwa na dharura ya aina ile tumlilie nani nasi kupelekwa Agakhan Nairobi?
 
Wewe mvaa kofia na tshirt za kijani.........haviwezi kukuacha salama.

Labda kwa kukusaidia.......mabalozi wanaiwakilisha Tanzania na siyo CCM. Mishahara yao ni kodi za wana ccm, wana Chadema, wana CUF nk (ingawa wavaa tshirt na kofia za Kijani Kama wewe..not sure kama mnalipa kodi) . Kwa Hiyo TL kuhudumiwa na ubalozi in haki yake.....
Kwa hiyo kuhudumiwa na ubalozi ndio haki yake ila kufuata taratibu zinazowekwa na serikali sio haki yake (utaratibu wa serikali kwa sasa ni kwamba matibabu yanayowezekana nchini yafanyike hapahapa nchini)
 
Hicho ni kikundi cha magaid, yaani wanafanya mchezo wao, wanaandaa watu wa kupiga picha, wanaandaa sehemu ya matibabu.
Hongera aisee!! hii akili siyamchezo ni wachache sana dunia hii waliojaliwa akir kama yako.
 
Chadema ni ma low IQ na ni wote, hawawezi kufikiria kama unavyofikiria, mambo yao hayana logic kabisa ndo maana nimeuliza hilo swali!
Mkuu haya ndiyo mambo ya kutukana wakunga na uzazi ungalipo, nadhani wanafikiri kisiasa zaidi, ni kuendelea kuelimishana tu.
 
Back
Top Bottom