Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,193
- 12,379
Ubalozi wenu wewe na nani mkuu?Chadema wamempeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Huwezi kuona kuwa madaktari wetu wanaweza kupewa maelekezo kumchoma shindano ya kifo?