Hicho ni kikundi cha magaid, yaani wanafanya mchezo wao, wanaandaa watu wa kupiga picha, wanaandaa sehemu ya matibabu.Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya bdl ya MHS yetu kwa madai hawaamini MHS hs kiusalama, lkn cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada ktk Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Kinawauma kweli lisu kutokufa.Chadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya bdl ya MHS yetu kwa madai hawaamini MHS hs kiusalama, lkn cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada ktk Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Ivi watanzania mmefikia hapo kisa siasa,mnatia huruma afu mnachekesha,MTU at akiwa amsalimiani akifikwa na baya ni utamaduni wetu kushiriki kwa shida iliyomfika,siasa kweli nyoko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno umeyatoa wapi?wametoka hapa na dktr mpk kenya na ni mtanzania na ukumbuke usalama wa hospitalini siyo kazi ya dktr so wao wamempa amani ya moyo tundu lissu so kenya ni bora kwa amani yake ya moyo kuliko bongo maana atakua anaamini watakua bado wanataka kuja kummaliziaChadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya bdl ya MHS yetu kwa madai hawaamini MHS hs kiusalama, lkn cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada ktk Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Mbunge wa viti maalumu au?Sikuzote wapuuzi niwakupuuzwa tu
Ningelikuwa mbunge nisingeli kubari hata senti yangu ikatwe kisa Lisu!!
Upuuzi mtupu
Hayo maneno umeyatoa wapi?wametoka hapa na dktr mpk kenya na ni mtanzania na ukumbuke usalama wa hospitalini siyo kazi ya dktr so wao wamempa amani ya moyo tundu lissu so kenya ni bora kwa amani yake ya moyo kuliko bongo maana atakua anaamini watakua bado wanataka kuja kummalizia
Ukishindwa kuelewa hata hichi kidogo utakua zwazwa wa kiwango cha phd
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuue sasa hajafaJaman mnakumbuka chacha wangwe alivokufa?lisu nae alizid kumpiku mamvi inamaana hakujua kama mzee alitoa pesa nyingi sana pale chadema ili jinalake ndo litawale?lisu bana kiherehere kimemponza anataka kua juu kuliko chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Balozi kwn ndo moja ya watu wasio julikana?in sirro's voiceVp sasa Balozi zetu wao hawatataka kummaliza?