Ramadhan Rajabu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 578
- 1,105
Hawa wapumbavu wa lumumba walitaka LISSU afe wapuuzi nyie atakufa baba yenu Kipara
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wapumbavu wa lumumba walitaka LISSU afe wapuuzi nyie atakufa baba yenu Kipara
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kama hujali unahoji hii paradox ili iweje?Mimi binafsi sijali vyovyote sawa tu, nina matatizo yangu kibao kuweza kujali kama amekufa au la!
Wasted sperms..Sikuzote wapuuzi niwakupuuzwa tu
Ningelikuwa mbunge nisingeli kubari hata senti yangu ikatwe kisa Lisu!!
Upuuzi mtupu
Kwa jinsi nilivyomsikia mbowe alisema wanawaamini sana madaktari wetu ila hawana uhakika na usalama wa TL. That's the reason ,tusiwe tunakuza maneno bila sababu za msingi.Haihitaji elimu hapo, iko wazi kuwa hawa jamaa zetu hawajitambui.
sikuzote mfa maji haachi kutapatapa.
Umeona eeeh, maaba sababu ilishatolewa na iko sawa kbs.Kinawauma kweli lisu kutokufa.
Na ndio hao hao madaktari waliompa huduma ya kwanza pale dom. Naungana na ww kbs sababu kuu ni za kiusalama lkn sio wataalam.Hayo maneno umeyatoa wapi?wametoka hapa na dktr mpk kenya na ni mtanzania na ukumbuke usalama wa hospitalini siyo kazi ya dktr so wao wamempa amani ya moyo tundu lissu so kenya ni bora kwa amani yake ya moyo kuliko bongo maana atakua anaamini watakua bado wanataka kuja kummalizia
Ukishindwa kuelewa hata hichi kidogo utakua zwazwa wa kiwango cha phd
Sent using Jamii Forums mobile app
"PChadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Haihitaji elimu hapo, iko wazi kuwa hawa jamaa zetu hawajitambui.
sikuzote mfa maji haachi kutapatapa.
Nadhani ingekuwa busara kama wangekataa kuhudumiwa na wale madaktari bingwa pale dodoma kwa kumpeleka nairobi moja kwa moja baada ya tukioChadema wamenpeleka Tundu Lisu Kenya badala ya Muhimbili yetu kwa madai hawaamini Muhimbili yetu kiusalama, lakini cha ajabu wanalalamika kutokupata msaada katika Ubalozi wetu, kuna wa kunielimisha hii paradox?
Sikuzote wapuuzi niwakupuuzwa tu
Ningelikuwa mbunge nisingeli kubari hata senti yangu ikatwe kisa Lisu!!
Upuuzi mtupu