Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
kwani mkeo hajakuzalia?
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF