Mwenyeminazi
Senior Member
- May 24, 2012
- 194
- 67
- Thread starter
- #21
Watumie message kuwa umesha athirika na ngwengwe wote watakukimbia!!
Mimi ni mtumiaji mzuri wa kondomu. nikiwaambia nimeathirka si watajua kuwa nawatania?
Ngoja nijaribu igigonga mwamba nitaomba tena ushauri? ahsanteni wooote kwa ushauri wenu. uwe mbaya ama mzuri mmenisaidia. tumalize mjadala huu hadi nitakapowaeleza vinginevyo.