Hawataki tuachane hata baada ya mimi kuoa

Watumie message kuwa umesha athirika na ngwengwe wote watakukimbia!!

Mimi ni mtumiaji mzuri wa kondomu. nikiwaambia nimeathirka si watajua kuwa nawatania?

Ngoja nijaribu igigonga mwamba nitaomba tena ushauri? ahsanteni wooote kwa ushauri wenu. uwe mbaya ama mzuri mmenisaidia. tumalize mjadala huu hadi nitakapowaeleza vinginevyo.
 
Naomba ushauri jamani. wasichana woote niliowapa mambo kabla sijaoa wanataka niendelee kuwapa mambo flani.Simu zao zimekuwa chungu kwangu na ndoa yangu. nabadilisha namba nashangaa kuona wanajua namba zangu mpya na nnajiuliza wanazipataje. Namueleza wife kuwa sina mahusiano nao inakuwa balaa..................

NIFANYAJE????????????????

Nimesoma thread yako unatafuta mwanamke wa kuzaa naye, hapa unasema wanawake hawataki kuachana na wewe hata baada ya kuoa. Na kama unatafuta mtu wa kuzaa naye si angalia kwenye hao wanaokuganda?
 
Nimesoma thread yako unatafuta mwanamke wa kuzaa naye, hapa unasema wanawake hawataki kuachana na wewe hata baada ya kuoa. Na kama unatafuta mtu wa kuzaa naye si angalia kwenye hao wanaokuganda?
Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.

Wa kuzaa nae ni yule ambae naye anataka mtoto na mambo ya kufuatana futana yanakuwa hakuna.

We niaje??? hujaoa nini?????
 
Utoto bado unakusumbua, utazaa na mtu then basi? Huyo mtoto atakuwaje bila kuwa na close relation na baba?
 
ulizini kwa kifupi huyo pepo anakufuatilia ndio maana hataishia hapo hata kwa watoto wako itakuwa hivyo maana inaonekana unajisifia kwa tendo ulilofanya
 
  • Thanks
Reactions: LD
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF


Sifa za kijinga hizi...oops sijamaanisha bwana!!! Ila kama sifa tu vile...maujiko ujiko tu....khaaa ahii nimetania bwana.
 
dah!!nipee number yake mkuu hata kusumbua ntampa 4 in 1 hakika atakusahau na ndoa yako itadumu
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
 
Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.

Wa kuzaa nae ni yule ambae naye anataka mtoto na mambo ya kufuatana futana yanakuwa hakuna.

We niaje??? hujaoa nini?????

kwani mkeo hajakuzalia?
 
Naomba ushauri jamani. wasichana woote niliowapa mambo kabla sijaoa wanataka niendelee kuwapa mambo flani.Simu zao zimekuwa chungu kwangu na ndoa yangu. nabadilisha namba nashangaa kuona wanajua namba zangu mpya na nnajiuliza wanazipataje. Namueleza wife kuwa sina mahusiano nao inakuwa balaa..................

NIFANYAJE????????????????
kwani una ukoo na almasi???
 
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF
he he he he he, umesema wapo wangapi 8??? kaka kwani ipoje uwiiiiiiiiiiiiiiii! tumia na kinga pia, maana hao 8, na wao wana watu wao wa nje yako, lol!
 
Sasa kama hawa wansumbua hivi ukizaa nao si ndio matatazo na vijisababu vya kutaka niwe wao mzima mzima.

Wa kuzaa nae ni yule ambae naye anataka mtoto na mambo ya kufuatana futana yanakuwa hakuna.

We niaje??? hujaoa nini?????
Mkeo hawezi kuzaa?
 
mkuu una nguvu kweli,kuhudumia wanawake wanane na hao wote unawafikisha. angalia unajichimbia kabur me mwenyewea kumbuka bao 1 unakuwa umepunguza muda wa kuish sasa piga hesabu mabao mangap unawatosheleza hao 8 plus mkeo. badilika condom c kinga ya ukimwi bali njia ya kupanga uzazi!
 
he he he he he, umesema wapo wangapi 8??? kaka kwani ipoje uwiiiiiiiiiiiiiiii! tumia na kinga pia, maana hao 8, na wao wana watu wao wa nje yako, lol!

hakuna cha kinga hapo madame, hao 8 c wote wanaokubali kinga kuna 1 ama kadhaa watakuwa hawapend hata wakachomoa. mwsho wa cku anajikuta kaukwa afu anaanza kujuta. ye ni mwanaume ana sauti ya kuweza kumkataa mwanamke yeyote. hapo anaendekeza ngono tu.tena atakuwa na pepo la ngono huyo!
 
Jamani Sihongi. Sometimes mi ndio nahongwa. Kuna mmoja anapiga mabiashara yake ya China, Hong kong na kwingineko. Akija hapa DSM tu ananitafuta. ananiagizia gari ya kuja kunichukua. Kabla sijawa muaminifu Nilikuwa nampa. Doozi nilikuwa nawapa. huyo yeye alishawahi kuniambia Hajawahikwenda hewani mata Tatu kwa kwa moja ila mi ndio nimempa. Na akasema Haniachi hata iweje. mi nikajua ni mauongo tu ya pale kunako 6*6. sasa ni kweli anasumbua. sijui nawaachaje. wako kama nane. watatu sio wasumbufu wananitafuta kwa kubip. nishaurini vizuri jamani nahitajikuokoa ndoa yangu wana JF

du we kicheche kweli,yaani tisa kwa mpigo?
 
Unatakiwa kuwa na msimamo kuwa mkataba baina yao na wewe umeisha,usipokuwa hivyo utaendelea kunyanyasika maana wanajua hutaki hiyo mambo wife ajue
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom