Hawa wananchi wa Chato waliolima bangi kwenye ardhi waliyopewa na Rais wachukuliwe hatua stahiki

Pascal unafikiri hawa wametenda kosa la jinai katika sheria zetu au tu wametenda kosa kwa kufanya mambo kinyume na agizo la rais?
Kiukweli tunatakiwa kuwe na mawakili hadi vijijini, kule bangi inajitea tuu, hivyo wananchi wale kwa vile ni wa pale royal village, wasamehewe tuu, kama ambavyo Mwanza hawakubomolewa kwenye bomoa bomoa. Huyu Mkuu wa Wilaya vipi?, hatufai.
P
 
Kiukweli tunatakiwa kuwe na mawakili hadi vijijini, kule bangi inajitea tuu, hivyo wananchi wale kwa vile ni wa pale royal village, wasamehewe tuu, kama ambavyo Mwanza hawakubomolewa kwenye bomoa bomoa. Huyu Mkuu wa Wilaya vipi?, hatufai.
P

Tatizo la mmea huu lipo tangu tunapata uhuru na pia lipo sehemu nyingi hapa Tanzania kuanzia Njombe, Ntwara, Tabora, Tanga, Geita, Musoma etc lakini kwanini leo isemwe Bangi ya Chato tu ikihusishwa na agizo la Rais na sio sheria za inchi yetu? vivyo hivyo Mwanza na Ubungo ni Tanzania moja?
 
Kwa maeneo yale bangi ni chakula.case closed.
P

Picha hiyo ilishafika hata Bungeni kupitia kwa Mbunge Msukuma lakini kama kawaida ikadharauliwa kirahisi rahisi tu kwa vile jamaa yetu ni darasa la saba leo hii tunalishwa matango pori kuwa kuna wapiga kura huko Chato wamekiuka agizo la Rais? iweje watu wasahau kuwa Msukuma na Medard Kalemani wote wanatoka Geita na wanawakilisha wapiga kura sasa hapo kweli tunashindwa vipi kujua kuwa Msukuma na wenzie wana hoja yenye maslahi na wapiga kura wao?

Pascal usiseme kuwa kwa maeneo yale bange ni chakula badala yake sema kwetu bila hiyo Bange hatuwezi kazi yoyote kwani mmea ndio fuel ya kila kitu hata mkuu analijua hilo na sio siri ila basi tu afanye nini, binafsi mimi nilikuja kutambua kuwa bange ni haramu na jinai pale nilipoona wanafunzi wenzangu wakichapwa viboko kwa kukutwa wanavuta bangi tukiwa boarding school
 
Tunapoelekea bangi itahalalishwa kulimwa kama raw material ila kuitumia kama tumbaku inaweza kuendelea kupigwa ban kitu kitakachopelekea police kuzidi kula rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika kusini wamealalisha,Lesotho na Zambia..na sisi inabidi tuliangalie hili pia Kwa jicho la pili..hata miraa ndugu zetu wa Kenya wamealalisha na wanafanya biashara kubwa tu na wasomali..
 
Kiukweli tunatakiwa kuwe na mawakili hadi vijijini, kule bangi inajitea tuu, hivyo wananchi wale kwa vile ni wa pale royal village, wasamehewe tuu, kama ambavyo Mwanza hawakubomolewa kwenye bomoa bomoa. Huyu Mkuu wa Wilaya vipi?, hatufai.
P
Tete tete..mkuu wetu anafanya kazi Kwa kuzingatia sheria,taratibu na kanuni(STK)...bila kujali ni mtanzania wa sehemu gani...utoke buzirayombo Chato au ilemela au chakechake Pemba ...utatendewa Sawa...
 
Duh...!, mimi nashauri huyu DC aondolewe!, hao wananchi wanaonewa bure tuu, maeneo mengi Usukumani bangi inajiotea tuu yenyewe, na maadam Wasukuma wenyewe bangi haiwadhuru, na bangi ina active ingredients 4 muhimu kwa matumizi ya medical marijuana ambazo ni raw material ya kutengenezea CBC, viburudisho, na virembesho.

Ingredients hizo ni Tetrahydrocannabinol, cannabidiol, cannabinoids na
Tetrahydrocannabivarin hivyo kwa vile Tanzania bado hatuna viwanda vya products hizo, then badala ya kuing'oa, tupitishe ku legalize kilimo cha zao la bangi for export na kufanya usimamizi mzuri ili bangi hiyo isivutwe.

Mimi hili nilishauri siku nyingi nyuma ikiwa ni pamoja na kuhalalisha ile biashara yetu ile ya

https://www.jamiiforums.com/threads...nia-tuhalalishe-the-oldest-profession.437136/
P
Pascaliii....😀😀😀😀😀😀...kila siku kesi zimekuwa ni kukiuka maagizo ya mweshimiwa JPM na siyo kukiuka sheria za nchi...naona siku hizi mweshimiwa amekuwa sheria sasa...mbona tutakoma...
 
Mbona mnatuhamisha kirahisi kwenye mada ya kuuawa kiongozi wa Chadema na majibu ya kamanda wa Polisi?
 

Attachments

  • 2316672_uvccm.jpg
    2316672_uvccm.jpg
    20.8 KB · Views: 1
Duh...!, mimi nashauri huyu DC aondolewe!, hao wananchi wanaonewa bure tuu, maeneo mengi Usukumani bangi inajiotea tuu yenyewe, na maadam Wasukuma wenyewe bangi haiwadhuru, na bangi ina active ingredients 4 muhimu kwa matumizi ya medical marijuana ambazo ni raw material ya kutengenezea CBC, viburudisho, na virembesho.

Ingredients hizo ni Tetrahydrocannabinol, cannabidiol, cannabinoids na
Tetrahydrocannabivarin hivyo kwa vile Tanzania bado hatuna viwanda vya products hizo, then badala ya kuing'oa, tupitishe ku legalize kilimo cha zao la bangi for export na kufanya usimamizi mzuri ili bangi hiyo isivutwe.

Mimi hili nilishauri siku nyingi nyuma ikiwa ni pamoja na kuhalalisha ile biashara yetu ile ya

https://www.jamiiforums.com/threads...nia-tuhalalishe-the-oldest-profession.437136/
P

Kuna mbunge nimemsikia akilizungumza hili bungeni...na kutoa vielelezo vya namna bangi ilivyokuwa na soko zuri na jinsi mahitaji ya bangi yalivyoongezeka...na namna jinsi serikali itapata soko zuri kutoka na bei yake kuwa nzuri...

Na nimesikia sheria inaruhusu lakni...hii inawezekana kwa kutolewa kibali maalumu kutoka katika wizara husika...

RAI YANGU:Serikali iruhusu hili kwa kuwa itasaidia kukuza pato la mtu mmoja moja na pato la taifa kwa ujumla...na ongezo la hitaji la bangi kwa mahitaji ya tiba
 
Picha hiyo ilishafika hata Bungeni kupitia kwa Mbunge Msukuma lakini kama kawaida ikadharauliwa kirahisi rahisi tu kwa vile jamaa yetu ni darasa la saba leo hii tunalishwa matango pori kuwa kuna wapiga kura huko Chato wamekiuka agizo la Rais? iweje watu wasahau kuwa Msukuma na Medard Kalemani wote wanatoka Geita na wanawakilisha wapiga kura sasa hapo kweli tunashindwa vipi kujua kuwa Msukuma na wenzie wana hoja yenye maslahi na wapiga kura wao?

Pascal usiseme kuwa kwa maeneo yale bange ni chakula badala yake sema kwetu bila hiyo Bange hatuwezi kazi yoyote kwani mmea ndio fuel ya kila kitu hata mkuu analijua hilo na sio siri ila basi tu afanye nini, binafsi mimi nilikuja kutambua kuwa bange ni haramu na jinai pale nilipoona wanafunzi wenzangu wakichapwa viboko kwa kukutwa wanavuta bangi tukiwa boarding school
Asante Mkuu kwa hili, japo mimi ni wale wa kule kule tuliozaliwa mjini, nikiwa Tambaza, jamaa zangu walikuwa wana piga hiyo kitu kule juu summit na wote wakapasua na misonge, hivyo nilipokwenda A level Ilboru, nikakutana na Cha Arusha!, usipime!.
Tuungane kuipigania hii kitu
Opinion: Is It Not, Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The ...
Bangi ihalalishwe | Page 10 | JamiiForums
Pasco Unachoma! | JamiiForums
Moral Question: Morphine (drug) iruhusiwe kupunguza maumivu makali ...
Masista (nun) wa Catholic wanavyofanya Kilimo Na Biashara ya Bangi ...
Kutoka Bungeni: Mbunge aomba Bangi iruhusiwe kulimwa! | Page 2 ...

P
 
Back
Top Bottom