toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,840
- 10,268
basi Pascal aambiwe nako Kilimanjaro walikokamata shamba la Bhange pale njia panda yule mzungu aachiwe akang'oe shambani kwake.
Kitu ya Arusha na Moshi ni tiba tosha kuliko ya Chato
Nchi ni moja wapiga kura mwaka huu ni walewale
Kweli sababu mangifuli ile ni chakula yake nasemaje anakula ganja mzee wa kaya
Sent from my iPhone using JamiiForums