Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
.....Na Kingi naye ni nani? Na Veracity naye siku hizi vipi? Jamani watu wamebadili ID hadi JF inapoteza ladha
Sijui itakuwaje siku bht, Nguli, carmel, Geoff, FL1, Chrispin, Kaizer, Mzee Mwanakijiji, Sipo, MJ1 na wengineo wakibadilisha IDs zao ina maana watabdilisha na staili za uchangiaji wao au kuna kitu wanakikimbia au kukificha
why should i?