Hawa wako wapi?

Na Kingi naye ni nani? Na Veracity naye siku hizi vipi? Jamani watu wamebadili ID hadi JF inapoteza ladha
Sijui itakuwaje siku bht, Nguli, carmel, Geoff, FL1, Chrispin, Kaizer, Mzee Mwanakijiji, Sipo, MJ1 na wengineo wakibadilisha IDs zao ina maana watabdilisha na staili za uchangiaji wao au kuna kitu wanakikimbia au kukificha
.....:D:D
why should i?
 
Na Kingi naye ni nani? Na Veracity naye siku hizi vipi? Jamani watu wamebadili ID hadi JF inapoteza ladha
Sijui itakuwaje siku bht, Nguli, carmel, Geoff, FL1, Chrispin, Kaizer, Mzee Mwanakijiji, Sipo, MJ1 na wengineo wakibadilisha IDs zao ina maana watabdilisha na staili za uchangiaji wao au kuna kitu wanakikimbia au kukificha

FL1 will remain forever and ever ..
 
huyu ndie Binti Maringo siku hizi mabo ya kubadilisha ID tu haya na inawezekana hata hawa wengine wamebadili majina tu lakini tuko nao kila siku. Ila mimi nitaendelea kubaki Sipo daima

Nimekusoma mkuu..namwona Binti Maringo ila sikujua ni Kelly01!..
 
Jamii Forum has of late been invaded by people who hit the keyboard just for the sake of posting,in the process down valuing many a meaningfull posts.I shall remain a keen observer untill such time the coast is clear
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom