Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Mkuu kwa kuangalia posts na threads zake tu. Anaweza kuthibitisha hili mwenyeweSIPO,
Umejuaje kuwa Binti Maringo ndeye alikuwa KELLY?
Mkuu kwa kuangalia posts na threads zake tu. Anaweza kuthibitisha hili mwenyeweSIPO,
Umejuaje kuwa Binti Maringo ndeye alikuwa KELLY?
BELINDA,Uwiano Maalum sijamuona kitambo, yupo wapi huyu mwanaJF? Pia Kelly01 naye amepotea kweli!..
bluray.....wapi yeye?
wengine wanasema blurei yupo darbado likizo labda!!!!! na kumalizia kile kitabu alisema anaandika!!!! (dont quote me wakwetu eeeeh)
wengine wanasema blurei yupo dar
Huyo yupo!anabadilisha ''fomesheni'' tu ya ushiriki hapa jamvinikakalende, julius, icadon, william J., steve D etc
they are on sabbatical
hivi kumbe na JF ina sabbatical!!! Basi Nguli atakuwa ameanza ya kwake nayekakalende, julius, icadon, william J., steve D etc
they are on sabbatical
lakini waambie wawe wanatunotifai mapema
Na Kingi naye ni nani? Na Veracity naye siku hizi vipi? Jamani watu wamebadili ID hadi JF inapoteza ladha
Sijui itakuwaje siku bht, Nguli, carmel, Geoff, FL1, Chrispin, Kaizer, Mzee Mwanakijiji, Sipo, MJ1 na wengineo wakibadilisha IDs zao ina maana watabdilisha na staili za uchangiaji wao au kuna kitu wanakikimbia au kukificha
phenomenon woman all the timeshe has nothing to hide so far!!!!!!!!! she will remain bht!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!