Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Hawa wako wapi wakuu?
Sita sita
Sunshine
Mhafidhina
Sanda Matuta
Son of Alaska
Felister
Lagatege
Khoryere
Sita sita
Sunshine
Mhafidhina
Sanda Matuta
Son of Alaska
Felister
Lagatege
Khoryere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wapi Kiteitei,Ilyikiteitei lya kite,Baba Babuu????
Bluray, Icadon, Gembe, Mgonjwa wa ukimwi, Malaria sugu
Kuna kipindi aliaga humu:kunguru mweupe, slaa, zitto
Sasa itabidi niwe msomaji tu JF. Endeleeni na mijadala bandugu.
Zitto
Huyu Mgonjwa wa ukimwi nilikuwa nawaza mara nyingi je huyu ni muathirika kweli au ni utundu wake tu? Amepotea siku nyingi sana kwa hiyo kama kweli alikuwa ni muathirika basi labda amesharudi kwa muumba wake.
Asante Injinia.Wengi wa hawa watu ukicheki profile zao unaona bado kuna activity, kwa mfano Mhafidhina last activity Dec 2009, Sanda Matuta is quite active, ndio maana hata ameupdate avatar yake kaweka picha ya Kawawa (Jan 2010), Son of Alaska was active today, Khoryere's status says he is "poor by choice" so maybe his poverty limits his access to the net (Feb 2009), Lagatage Nov 2009 labda bado yuko likizo hana computer
Bubu msemaovyo naye kapotea kimoja
huyu ndie Binti Maringo siku hizi mabo ya kubadilisha ID tu haya na inawezekana hata hawa wengine wamebadili majina tu lakini tuko nao kila siku. Ila mimi nitaendelea kubaki Sipo daimaPia Kelly01 naye amepotea kweli!..
SIPO,huyu ndie Binti Maringo siku hizi mabo ya kubadilisha ID tu haya na inawezekana hata hawa wengine wamebadili majina tu lakini tuko nao kila siku. Ila mimi nitaendelea kubaki Sipo daima