Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
Flabbergasting ......
Wakuu hamjambo?
Nina Rafiki tulieshibana kwa muda mrefu sasa, huyu jamaa yupo very successful in life
Amejijenga, ana nyumba zaidi ya nne hapa mjini, na miradi chungu nzima
Huyu jamaa amekua na mgogoro mkubwa sana na mkewe kwa muda mrefu sasa
Tatizo lao kubwa ni kwamba jamaa ana kisukari kikali sana cha kurithi type 1 ambacho kimepelekea kushindwa kabisa tendo LA ndoa
Mwanamke hakuwahi kutoka nje amekua mvumilivu huku akitumia njia za asili kama kujichua na midoli
Haya yote nimeyafahamu kwa kuwa Mimi ndio msiri wao na msuluhishi mkuu Wa mgogoro wao
Mwaka Jana mwanzoni mwanamke alisafiri kikazi mkoani arusha, accidentally nami nilikua huko kwa shughuli za biashara, akaniomba tuonane kwa mazungumzo
Nikamfuata hoteli aliyofikia tukaongea mambo mengi kuhusu matatizo yao
Tukaagana saa mbili usiku wakati naondoka akaniuliza naelekea wapi nikamwambia naenda kupumzika then naenda bendi usiku akasema kwa nn tusiende wote? Nikasema poa
Usiku tukawa bendi tunaserebuka hadi saa tisa usiku, tukakodi tax ili ianze kumshusha yeye then mm
Cha kushangaza tukiwa njiani siti ya nyuma akanivutia kwake tukaanza kupeana denda katika hali ya ulevi
Taxi ilipofika hotelini kwake akaniambia tushuke twende wote
Nami nikiwa nimewaka tamaa na uchu Wa ngono nikajikuta namfuata hadi chumbani, kufika ndani alionekana na uchu Wa ajabu ambapo aliniparamia na kuanza kunivua nguo kama wale watu Wa mieleka
Asubuhi ilikua ni Jumamosi akaniambia nisishangae kwa yaliyotokea maana yy ameshindwa kuvumilia umepita mwaka tangu mumewe asimamishe Mara ya mwisho na kuwa amejichua amechoka
Wiki nzima hiyo tulilala pamoja hadi tunarudi dar
Tumeendelea kufanya kwa siri kubwa hadi majuzi nilipoenda kwake asubui ya saa tano, kwanza nilimpigia simu jamaa akaniambia naenda kazini hadi mchana ndo tuonane mjini,
Mwanamke akaniambia niende ana hali mbaya, akamtuma sehemu Housegirl akamwambia hadi ampigie simu ndo arudi...
Alipoondoka housegirl nami nikaingia, ambapo alinidaka palepale sebuleni na kusaula na tukaendelea hapo hapo tukiwa katikati kama tulivyozaliwa housegirl akaingia na kutufuma red handed in action
Kumbe alisahau simu aliyoambiwa aibebe
Aibu iliyotushkka haisemekani
Akachukua simu akaondoka zake
Aliporudi shemeji akamweka chini akamwambia asithubutu kumwambia mtu alichokiona
Akamtisha atamfukuza
Cha kushangaza binti alikua na ujasiri Wa ajabu na kumjibu shemeji kuwa yeye hajali kufukuzwa ila ni lazima aseme la sivyo tumpe million moja ya mtaji akaanze biashara ndipo atuache huru na ataondoka pale home kinyume na hapo anasema, ametoa wiki
Hivi sasa yeye ndo kageuka bosi ndani, anaagiza aletewe kila kitu huku kakaa na remote sebuleni
Shemeji kasha panic anasema yeye hawezi kumpa kikojozi kama yule million na kwanza anasema ameshachoka na ndoa yenyewe na anataka mtoto kwamba anaelekea 35 hajazaa kutokana na Kumvumilia jamaa so bora aondoke tuwe guru
Nipo njia panda wakuu
Huyu jamaa ni kama ndugu kwa sasa
Sitaki kuharibu uhusiano wangu na yeye ameshanisahidia sana huko nyuma
Nifanye nini?
Au nimpe tu hiyo hela Housegirl?
Nawao kwa nini watombane hawajafunga milango wala geti, inaonekana hawana uzoefu wa kuiba.
hutaki kuharibu vipi ndoa ya mwenzio wakati ushaharibu??????
eti pombe???!!!
Afu sebuleni????!!!
uwiiii.....!!!!!!!
Mkwara tu huo hamna lolote!! Unataka tu mtu ashindwe hata kula msosi?
Ni pm namba ya huyo mwanamke nina dawa mumewe atapona
Nimekumiss wangu, upo? Mii ananchanganya huyu.
Bila ya pombe, wakapanga kwenda dance.
Bila ya pombe wakashare hotel 1 a week through.
Bila ya pombe, wakachagua venue sebure.
Bila ya pombe, kaja jf, sasa pombe inahusika vp hapa!
Hako kascene ka kwenye gaari hako.,kama ukarudie!!with more details
Shangaa wewe mweee!!!!
nipo asee vipi story ndo huleti tena???
hapo hakunaga siri tena ya watu 3 mpaka sasa hampo salama kamwe coz mpaka huyo bint kafikia kusema hivyo kaeni mkijua kuwa lazima kuna watu au rafiki zake aliwasimulia so nao wanajua hilo ndio maana wakamtia jeuri ya kudai 1 milion.
hapo ni ishakuwa shida daaa kama mnataka kuwa salam hapo ni bora mmfanyie umafia tuu atangulie mbele za haki no way maana yy ndio mwenye ukweli halisi na ndio mhusika mkuu