GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
naunga mkono hoja...kwa nini asahau maelekezo ya boss wake...afukuzwe kazi mara moja huyo!
Nawao kwa nini watombane hawajafunga milango wala geti, inaonekana hawana uzoefu wa kuiba.
naunga mkono hoja...kwa nini asahau maelekezo ya boss wake...afukuzwe kazi mara moja huyo!
Mkuu msome Galadudu hapo juu kuhusu kutengeneza zengwe ili urafiki ambao ni karibu na "undugu" na huyo rafikiyo uendelee huku ukiendelea kumgegeda mkewe kwa raha zenu.
Besti vipi??! Mh
Hivi huyo jamaa kama yuko huku siatajua! Bora ndugu uumbuke yaishe ukimpa huyo dada milion yako itakwenda bure na kushikwa utashikwatu, pole lakini kama ilikua ni bahati mbaya kule arusha mbona mmekuja kurudia huko dar? Mulikusudia na hapo kubali kushikwa tu yaishe baba.
Nawao kwa nini watombane hawajafunga milango wala geti, inaonekana hawana uzoefu wa kuiba.
Best nipo poa wala usishangae best, dunia imevaa pensi, pensi yenyewe kwenye makalio iko wazi kabisa. Juzi tumeona jamaa kamfumania baba yake na mkewe, huyu naye anasema kilevi kikamfanya atende kosa hilo linakubalika, sasa wamenogewa wamechonga mzinga na kumbuka Best za mwizi ni arobaini.
Inabidi ulevi upigwe ban....isiwe shidda
Hehehe usipotoa hio 1 mill soon utajua kama hasimimishi kweli au lah!! Au hata kuita watu wamsaidie, umesema huko nyuma alikusaidia sana? Dah pole. Ila inategemea mmeshibana vipi anweza kukuelewa. Si heri umekula wewe wa karibu kuliko jitu la mbali.
Hahahahaaaaaaaaaa! Housgel kama huyo dawa yake ndogo sanaaa! Lakini wewe siku ukishikwa si utaliwa Kiboga wewe japo mwenye nguvu hana lazima akukodie watu.
Dawa ya beki tatu, we mtokee hakikisha una mbato, na kuna ushahidi wa kutosha wa picha na sms zinazoashiria mahusiano baina yenu. HATA ASEME WAPI, KWA NANI, ATUMIE AMPLIFAYA GANI HAKUNA ATAKAPO AMINIKA AS LONG AS UNA USHAHIDI UMEWAHI KUMPITIA. ITAONEKANA NI WIVU WAKE WA KIMAPENZI ANATUNGA TUNGA TU VITU, NA KUMCHAFUA MKE WA MTU. Ukimmbato credibility yake inaenda negative kabisaaaa.
Ukilogwa umpe hio pesa utatengeneza ushahidi afu kila siku atakuwa anataka hela zaidi. Mpaka sahivi bado kuna reasonable doubt ya kutosha tu. Fanya kama nilivokwambia. Kwanza utafaidi, maana watamu kweli wale kuku wa kienjeji, pili uatatua tatizo lako.
AMA KWELI SHETANI HATOKI MBALI UNAISHI NAE NA KUSHIRIKIANA NAE KILA KITU, AT TIMES NDO MSIRI WAKO!
Hahahahaaaaaaaaaa! Housgel kama huyo dawa yake ndogo sanaaa! Lakini wewe siku ukishikwa si utaliwa Kiboga wewe japo mwenye nguvu hana lazima akukodie watu.
Dawa ya beki tatu, we mtokee hakikisha una mbato, na kuna ushahidi wa kutosha wa picha na sms zinazoashiria mahusiano baina yenu. HATA ASEME WAPI, KWA NANI, ATUMIE AMPLIFAYA GANI HAKUNA ATAKAPO AMINIKA AS LONG AS UNA USHAHIDI UMEWAHI KUMPITIA. ITAONEKANA NI WIVU WAKE WA KIMAPENZI ANATUNGA TUNGA TU VITU, NA KUMCHAFUA MKE WA MTU. Ukimmbato credibility yake inaenda negative kabisaaaa.
Ukilogwa umpe hio pesa utatengeneza ushahidi afu kila siku atakuwa anataka hela zaidi. Mpaka sahivi bado kuna reasonable doubt ya kutosha tu. Fanya kama nilivokwambia. Kwanza utafaidi, maana watamu kweli wale kuku wa kienjeji, pili uatatua tatizo lako.
AMA KWELI SHETANI HATOKI MBALI UNAISHI NAE NA KUSHIRIKIANA NAE KILA KITU, AT TIMES NDO MSIRI WAKO!