The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,059
Akizidiwa akili na beki tatu aibu nitaona mie. Yaani awe na swaga za kumteka make Wa MTU ashindwe kumteka kuku Wa kuchora? Itakuwa maajabu ya dunia.
Kama umeisoma hiyo hadithi tangu mwanzo ni kwamba, mke wa huyo rafiki yake ndie aliyeanzisha na wala sio swaga za huyo jamaa.
Mpango wako ni mzuri lakini tatizo halimalizwi kwa kusababisha tatizo lingine. Kama ikitokea rafiki yake (mwenye mke) akawabamba au akasikia huyu rafiki yake anatoka na housegirl si ndio hali itakua mbaya zaidi?