Hausegirl katushika pabaya

Hausegirl katushika pabaya

Atakuuwa huyo jamaa yako, fanya hima toa hiyo million. .....jambo hili ni Hatari sana, usilete mchezo kabisa juu ya hill......
 
Mwache aseme hana ushaidi akisema anatimuliwa kazi.
 
hilo lako limekugand no way toa pesa house grl APATE MTAJIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...........................
 
hilo lako limekugand no way toa pesa house grl APATE MTAJIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...........................
 
martins paul; suluhu iliyokuwepo uwe na ujasiri na nguvu ya kumwambia RAFIKI yako kuwa Shetwani alikughilibu na ukaamuwa kumbaka mke wake !! PERIOD !! ( amini atakusamehe ) tengeza drama....!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaa! Housgel kama huyo dawa yake ndogo sanaaa! Lakini wewe siku ukishikwa si utaliwa Kiboga wewe japo mwenye nguvu hana lazima akukodie watu.

Dawa ya beki tatu, we mtokee hakikisha una mbato, na kuna ushahidi wa kutosha wa picha na sms zinazoashiria mahusiano baina yenu. HATA ASEME WAPI, KWA NANI, ATUMIE AMPLIFAYA GANI HAKUNA ATAKAPO AMINIKA AS LONG AS UNA USHAHIDI UMEWAHI KUMPITIA. ITAONEKANA NI WIVU WAKE WA KIMAPENZI ANATUNGA TUNGA TU VITU, NA KUMCHAFUA MKE WA MTU. Ukimmbato credibility yake inaenda negative kabisaaaa.

Ukilogwa umpe hio pesa utatengeneza ushahidi afu kila siku atakuwa anataka hela zaidi. Mpaka sahivi bado kuna reasonable doubt ya kutosha tu. Fanya kama nilivokwambia. Kwanza utafaidi, maana watamu kweli wale kuku wa kienjeji, pili uatatua tatizo lako.

AMA KWELI SHETANI HATOKI MBALI UNAISHI NAE NA KUSHIRIKIANA NAE KILA KITU, AT TIMES NDO MSIRI WAKO!
Umeamini hii paukwa pakawa?
 
Changamoto za ndoa nazo ni nyingi. Imagine mtu ameoa kabisa na machine iko fit 24/7, then all of a sudden unasimamisha kwa jeki...wtf? Ni lazima uchapiwe hata mkeo awe mjasiri na mvumilivu kiasi gani, ni lazima atachapwa tu.
If you really love your wife you might as well let her go. Hivi kwanza umng'ang'anie ili iweje. Mimi asepe tu aisee.
 
Piga housegel mkuu.Me nilikuwa napiga dada mtu.Mara mdogo wake akatufuma,suluhisho nilipiga mdogo wake then mambo yakawa poa.
 
martins paul, japo na wewe una sehem yako kwenye hili tatizo lakini naona huyo mwanamke unayemwita shemeji yako ndio chanzo cha haya yote. Kwanza nadiriki kusema kwamba hata huo mpango wa Million moja huenda ni yeye kausuka na House Girl ndio maana anasema hawezi kumpa hiyo pesa ili wewe uitoe yoye peke yako, mjini hapa.

Na huwezi kujua huenda ni mchezo wake na ameshawafanyia wengine na kuvuta pesa, uwe makini mkuu.
 
Last edited by a moderator:
If you really love your wife you might as well let her go. Hivi kwanza umng'ang'anie ili iweje. Mimi asepe tu aisee.

Unajua hiyo kweli ni changamoto kama alivyosema Eli79, huyo jamaa bado anamatumaini iko atapona.

Kuna jamaa yangu hua anatania anasema akitokea siku akawa hawezi haya mambo anasema ni afadhali afe, akaongeza hawezi kua anawatazama waermbo kisha anasikitika kwamba ingekua enzi zangu!
 
Last edited by a moderator:
Mh! hii ni shida sana, haya anakufanyia mtu anayekuita rafiki wa karibu na undugu ambaye anakiri kabisa kwamba anathamini na kutambua mchango wako na msaada wako maishani mwake.

Binafsi kwa kulitambua hilo, nilisha amua tangu kitambo kuweka mbali mazoea ya ukaribu na wake za rafiki zangu na watu nnaoheshimiana nao, ni bora akilalamika simchangamkii kuliko kuniletea fedheha kwa rafiki na jamaa zangu ambao imenichukua muda kujenga uaminifu kwao.

Na tatizo ukishaharibu kurudisha hiyo heshima na kuaminiana kama mwanzo haiwezekani tena hata kama mtasuluhisha yaliyotokea!

Mkuu bora umeona na kusemea neno...... kweli rafiki yako wa karibu unathubutu kutembea na mke wako, sidhani kama amejiuliza kama na yeye ataoa,,, na ataoa mke wa aina gani. nakushauri kaa mbali na familia ya watu, muache mke wa rafiki yako atajua atayamalizaje, asimsogelee tena,,, ataliwa cku zisizo zako....
 
huyo hausigel pumbav sana peleka mabepwande
 
We bingwa unamtosheleza mwanamke aliyezoea kufanya sex kwa mtambo.Kapime VVU kwani mwanamke huyo anaonekana akipata mwanamme kwa sababu ya ukame wa muda mrefu hana subira.
 
na hao waliokutwa wapuuzi kweli...walisahau vipi kufunga mlango!!na kwanini wasipigie game chumbani au hata stoo!

Halafu unajua wiki 1 ishapita toka jamaa aweke hii thread, nawasiwasi mshkaji atakuwa kashaf*rwa na majamaa wa kukodi ndo maana hajarud tena
 
Halafu unajua wiki 1 ishapita toka jamaa aweke hii thread, nawasiwasi mshkaji atakuwa kashaf*rwa na majamaa wa kukodi ndo maana hajarud tena
aiss yaweza kuwa kweli bwana kende...atakuwa alishafutuliwa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom