KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,126
- 32,815
Yeye pia alihama....lakini nilimuacha hapo.....Jamaa uliyemkuta ulimuacha?
Yeye pia alihama....lakini nilimuacha hapo.....Jamaa uliyemkuta ulimuacha?
Mimi mtumishi wa Mungu, mapepo yananiogopa...
Si kweli mkuu,wapo wachungaji hayo ni mambo madogo Sana,hao viumbe wanasalimu amri vizuri sana.Jambo la msingi elewa tu kwamba wapo watumishi wa Mungu wenye nguvu za kiroho na wanaponya watu,watu wanafunguliwa vizuri Sana.Majini ,wachawi kwa level zao wanakimbia.Thubutuuuuh, labda awe mganga wa kienyeji, sio imani ya kiroho tyuuuj, atachezea kichapo hadi asahau na uchungaji wake wenyewe
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwaiyo hata bili za umeme yatakuwa yanalipa hayo majini sioLabda kwasababu sijaelezea mazingira na muonekano wa hiyo nyumba ndio maana naonekana kama mzushi tu
Nyumba yenyewe kwa nje ya geti imezungukwa na vichaka hadi njia ya kuingilia haionekani, ndani ya geti ni vichaka vitupu, vioo vya madidirisha vilishapasuka yani kiufupi ni kama gofu.
hao watalii unataka waambiwe waseme lugha wasiyoijua? LolDuuuu pawe basi sehemu ya utalii
Hizi hadithi tyuuh hata kwenye vitabu zipo.Si kweli mkuu,wapo wachungaji hayo ni mambo madogo Sana,hao viumbe wanasalimu amri vizuri sana.Jambo la msingi elewa tu kwamba wapo watumishi wa Mungu wenye nguvu za kiroho na wanaponya watu,watu wanafunguliwa vizuri Sana.Majini ,wachawi kwa level zao wanakimbia.
Sizungumzi kwa kubahatisha,ila kuna wanaoelewa ninaongea nini.Bahati nzuri kuna mtu ktk familia yangu mwenye uwezo na nguvu za mamlaka hayo na nimeshuhudia vifungo vya watu vya mateso vinaondoka.Watu wanapona magonjwa.
Watu wamekosa imani kwasababu matapeli wamekuwa wengi.
Pili,wewe unayeombewa km pia una imani haba hutaupata uponyaji.
Majini yanaogopa giza yanawasha taaMtaani hapa kuna nyumba ilishashindikana kukalika, sasahivi naona majini ndio yanajitawala maana ikifika jioni yanawasha taa asubuhi yanazima.
Sema tu, ulienda kwa BabuYalinikuta haya wakati nahamia kwangu, kila siku ya Mungu naota misiba huko nyumbani. Maisha yakawa magumu kupitiliza, pesa haikai mwisho wa siku wakaninyoa nywele pande mbili za kichwa. Nikaenda kunyoa zote. Zimeota tena kidogo wakaninyoa tena, ilibidi niende kwa wazazi kupumzisha akili yangu pamoja na kupata ushauri wa nini nifanye,.
Kama kaunga tarrif zero,
Kuwasha TU taa umeme wa elfu 10 anatumia miezi 6
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani hapa kuna nyumba ilishashindikana kukalika, sasahivi naona majini ndio yanajitawala maana ikifika jioni yanawasha taa asubuhi yanazima.
Wabishi kina Tomaso nhamkosekani
Kwa hiyo majini yanaogopa Giza?Mtaani hapa kuna nyumba ilishashindikana kukalika, sasahivi naona majini ndio yanajitawala maana ikifika jioni yanawasha taa asubuhi yanazima.
Ahh Wacha kutuleta huo ni urongo wongo wongooo kabisaassKwa kuwa kuna binadamu na majini kwa baadhi tunavyoamini
Kweli majini wapo kila sehemu na tunaishi nao
Pia wengine wanaamini kuna mizimu na kama wazungu wanaamini kuna Nafsi zilizouliwa kwenye baadhi ya nyumba
Mimi binafsi kuna hotel nililala lakini cha ajabu nilikuwa naona kila wakati kama kuna kitu kinakatisha pembeni yangu ( kimvuli)
Sikushtuka sana kwani napenda sana kukutana na mambo kama hayo na nafsi hizo
Nilijaribu kuongea nae bila kupata jibu, nikalala zangu
Ila haya mambo yapo sana na nikipata fursa ya kupata haunted house ntaenda nikaone
Bisha tuAhh Wacha kutuleta huo ni urongo wongo wongooo kabisaass
Mama J anasemaje katika hili?😄😆😃😄😆😃Wabongo bhana
Usikute mwenye nyumba kafunga zake photocell, Nyumba Haina mtu
Kasafiri kaenda zake uko taa zinajiwasha usiku, asbh zinajizima.
Majirani mnazusha kua Kuna majini mle yanazima na kuwasha taa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siamini shirk wala uchawi wala mizimu ila ipoKwahiyo huu ndio ushahidi?
Imani za dini na ushirikina ni shambulio la kiakili aisee